maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Hamna haja ya salamu, ujumbe tu unatosha.
Baada ya miaka 5 -10 watoto tunaowapeleka na kuwarudisha shule kwa mabasi ya njano watakuwa wanaongozwa na waliosoma shule za umma. Hii itakuwa ni kwenye nyanja zote za uendeshaji uchumi, jamii etc.
Mtoto anapakiwa getini na kurudishwa getini. Anaishi mbezi kimara anasoma ubungo, hajui sinza, buguruni, mbagala etc. anamaliza kidato cha sita hajui kubadili gari afike Mbagala. Hii ni hatari.
Mbaya zaidi hajui kuuza pipi ya shilingi 100 apate 120. Hawezi kulima bustani zaidi ya kusoma mboga darasani.
Huyu ndio aje apambanishwe na anayeishi Mbezi suka na kusoma shule ya secondary Mbagala.
Thubutu!
Baada ya miaka 5 -10 watoto tunaowapeleka na kuwarudisha shule kwa mabasi ya njano watakuwa wanaongozwa na waliosoma shule za umma. Hii itakuwa ni kwenye nyanja zote za uendeshaji uchumi, jamii etc.
Mtoto anapakiwa getini na kurudishwa getini. Anaishi mbezi kimara anasoma ubungo, hajui sinza, buguruni, mbagala etc. anamaliza kidato cha sita hajui kubadili gari afike Mbagala. Hii ni hatari.
Mbaya zaidi hajui kuuza pipi ya shilingi 100 apate 120. Hawezi kulima bustani zaidi ya kusoma mboga darasani.
Huyu ndio aje apambanishwe na anayeishi Mbezi suka na kusoma shule ya secondary Mbagala.
Thubutu!