Ukweli mchungu

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Rais wa zamani wa Marekani Mh Barack Obama amesema watu wanaomzunguuka walikua wanamwambia ukweli anapokosea na pia kuhoji uhalali wa maoni yake anapokosea wala sio kumsifia kwa kila jambo,ni hatari watu unaowaamini wasipokwambia ukweli"

 
Sasa Obama ni mjaluo hawapendagi Sifa za kijinga!

Kamsifie John Heche kama hajakukata makofi dadeki 🐼🔥
 
Nyerere aliwahi kusema, mtu akikupa ushauri (wa kijinga), akijua dhahiri anakushauri ujinga, na wewe ukaufuata, atakudharau! Nafikiri enzi hizo alikuwa akirusha kijembe kwa aliyemfuatia nafasi ya uraia. Sasa wanaiamini katika uchawa, kazi kwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…