BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Nimekuuliza swali we zwazwa ila hujajibu unaendelea kuongea tu kama chizi, umewahi kuskia wao wakilalamika? Kwahiyo wewe ndio una akili sana kuliko wao? Umekazana kutoa mfano wa Azam confederation unajua msimu uliopita alichukua nani? Msimu wa majuzi alichukua nani?we ni shabiki mandazi unanabwawaja km umekatwa kichwa, km ishu ni mapato basi ligi ichezewe dar es laam peke yake mi naandika for sake ya ligi yetu kuwa fair ili tupate bingwa halali na sio mambo ya ujanja ujanja ambayo mwisho wa siku tukienda kucheza kimataifa tunageuka kituko....we! umekalia ushabiki tu wa kuangalia maslahi ya timu unayoipenda bila kuangalia maslahi ya mpira wetu km nchi , kwenye kombe la fa kulikuwa na fair ground uliona kilichowatokea hao simba na yanga
Nimekuuliza swali we zwazwa ila hujajibu unaendelea kuongea tu kama chizi, umewahi kuskia wao wakilalamika? Kwahiyo wewe ndio una akili sana kuliko wao? Umekazana kutoa mfano wa Azam confederation unajua msimu uliopita alichukua nani? Msimu wa majuzi alichukua nani?
Nimekwambia kuna mambo mengi ya kufanya sio lazima ulazimishe kuongelea kitu usichokijua, kwahiyo kutolewa Simba na Yanga kwenye Azam confederation ndo fair unayoongelea? Ss km huko wanaweza kuzifunga kwanini washindwe kwenye ligi? Au hao jkt wangekuwa wanacheza kwao ndo wangebeba kombe?
Stupidity katika kiwango cha lami yani hujui ata utaka nini, ruhusa kila mtu kuanzisha uzi ila uwe na uwezo wa kutetea hoja yako sio unaruka ruka tu, eti jkt washinde ligi kwa kikosi gani? Kocha gani? budget gani? Unajua kwanini Azam alishinda ligi? Unajua kwanini mtibwa alichukua ubingwa?
Nenda jukwaa la mapenzi huko, huku sio mambo yako mkuu
Simba na yanga hazina uwanja, ule uwanja wa taifa kila timu inauhusu. Kila timu inaruhusiwa kuutumia kama uwanja wake wa nyumbanihoja sio mapato hoja ni fairness ....hii ni sawa na mtoto wa maskini agongwe na gari la tajiri halafu tajiri atoe hela ili kuua soo ili kesi isiende mahakamani ,mwisho wa siku kesi inaweza isiende mahakamani lkn haki inakuwa haijatendeka na hii ndyo point ninayoizungumzia " kanuni za ligi yetu zinasema timu zote zitacheza nyumbani na ugenini" sasa kwanini simba na yanga baadhi ya mechi zao wanachezea zote nyumbani? haki ipo wapi hpo?
Simba na yanga hazina uwanja, ule uwanja wa taifa kila timu inauhusu. Kila timu inaruhusiwa kuutumia kama uwanja wake wa nyumbani
Aisee, hivi we una hoja gani labda ambayo me sijaijibu kwa fact? Kwanini me nauliza maswali hujibu? Sasa hapo me nashabikia team gani?jazba kontena hoja kisoda " mapenzi km uchizi ukishapenda huoni wala huskii" msimu uliopita simba ni kweli alichukua ubingwa wa fa lakini fair ground ilikuwa haijaimarishwa km sikosei mechi za mtoano karibia zote alichezea taifa kasoro mechi mbili tu sasa hpo utaona ndyo yale yale ninayosema hta yanga msimu wa juzi mechi zote kachezea taifa kasoro mechi moja tu! now msimu huu kuchezesha draw kumekata mzizi wa fitna no mbeleko tht y wote wameangukia pua maana misimu miwili iliyopita walikuwa wanapanga ratiba kwa kuzi feva simba na yanga zicheze taifa ili wapate mapato now kuchezesha draw kumeleta fairness ambayo haikuwepo kitu ambacho ni kizuri kwa mtu anayependa maendeleo ya mpira wetu, ila kwa shabiki mandazi km wewe endelea kuleta ushabiki kwenye mambo ambayo hayaleti tija kwenye mpira wetu
Aisee, hivi we una hoja gani labda ambayo me sijaijibu kwa fact? Kwanini me nauliza maswali hujibu? Sasa hapo me nashabikia team gani?
Hivi hizo match mbili za simba na yanga ndio zimefanya jkt awe ile nafasi aliyopo kwenye msimamo? Anacheza na team almost 14 kwenye ligi hizo hazimtoshi angalau ata kumaliza top 4? Wakati mtibwa anachukua ubingwa team zilikuwa hazichezi taifa haya kwanini wao waliweza?
Ukweli ni kwamba huna hoja mkuu na ata kama utakuwa nayo basi umekosea namna ya kuiwasilisha, kigezo cha jkt kucheza taifa mach za Simba na Yanga haiwazuii wao kuchukua ubingwa hivo ni sababu ambayo haina kichwa wala miguu kwa sababu wao hawazuiliwi kushinda taifa kwanza wanakuwa na advantage za kushinda kwani wanatolewa kwenye kiwanja kibovu na kuletwa kwenye uwanja mzuri
Labda tu hujui Sheria za fifa ili uwanja uweze kutumika kwenye ligi unatakiwa kumit standard gani, kwa bongo hakuna namna tu ni lazima viwanja kama vya njombe, jkt, mtibwa, stand utd, nk vitumike kwakuwa hakuna namna ila vingi havijamit standard za fifa, na zote haziwezi kutumia uwanja wa taifa kwani utawahi kuchoka
Najitahd sana kukujibu kwa hoja na facts ila hutaki kuelewa umekazana tu na sababu yako, kuna njia nyingi za kubebwa kwa simba na yanga ila hiyo yako haipo kwani ina faida kwa team zote, huwezi kulalamika eti Yanga kabebwa kwa kuwaleta Njombe mji kucheza taifa utakuwa huna akili
Dahhh kweli we jamaa mbishi sana, huo utaratibu ulipangwa tangu msimu uliopita game za jkt ruvu na mgambo game za Simba na Yanga zilikuwa zinachezwa taifa, hivo sio kitu kigeni nashangaa hukuleta huu uzi tangu msimu uliopita ila ukaleta hivi sasaNaona ushanielewa ila hutak kukubali na kinachonisikitishs zaidi huelewi kuwa timu kucheza ktk uwanja wa nyumbani mbeld ya mashabiki kuna advantage ya timu husika kupambana kupata matokeo ,....unasema sina hoja mi nishakwambia hoja yangu mimi ni fairness, kila mchezo kwenye ligi unahitajika kucheza kwenye mazingira yaliyo fair ili kuondoa hali ya upendeleo kwa baadhi ya timu.leo hii ruvu akicheza na simba kwenye uwanja wa mabatini approach yao ya mchezo itakuwa tofauti kbsa na wakicheza taifa ambapo wanakuwa wenyeji jina tu! mabatini ndyo uwanja wanaofanyia mazoezi kila siku ,ndyo kambi yao ilipo,so simba wakija wanakuwa serious wapo ugenini na sio hyo maigizo yanayofanyika taifa ruvu kuwa wenyeji wakati atmosphere nzima ya uwanja inaonesha kuwa ni wageni,......mwisho acha nimalize kwa kuuliza swali " kwanini timu 14 ligi kuu zinaenda kucheza ruvu manungu, mwadui kasoro simba na yanga? nipe sababu ambazo ni reasonable kwanini simba na yanga hazichezei ivo viwanja?
Wanamkumbuka Malinzikwahiyo umeliona hilo mwaka huu tu kwakuwa yanga ndio bye bye au
very good critic indeedPoint ya Simba na Yanga kubadilishana ubingwa sio hoja ya kusema wanabebwa.
Ebu angalia LA LIGA ni Barcelona na REAL MADRID.
Angalia GERMANY ni BUYERN tu. FRANCE ni PSG na ITALY ni JUVENTUS Je wanabebwa?
Jana umeona MAN U amepigwa na West brom tena OLD TRAFORD.. Kwani hao Mwadui wakishinda hapo TAIFA wananyimwa Point au.
Uyo shabiki maandazi atakuchosha hajui hata anaongea nn, nimemwambia km simba na yanga zinabebwa waombe mechi hata na APR ya Rwanda ili tujue wako vizuriNimekuuliza swali we zwazwa ila hujajibu unaendelea kuongea tu kama chizi, umewahi kuskia wao wakilalamika? Kwahiyo wewe ndio una akili sana kuliko wao? Umekazana kutoa mfano wa Azam confederation unajua msimu uliopita alichukua nani? Msimu wa majuzi alichukua nani?
Nimekwambia kuna mambo mengi ya kufanya sio lazima ulazimishe kuongelea kitu usichokijua, kwahiyo kutolewa Simba na Yanga kwenye Azam confederation ndo fair unayoongelea? Ss km huko wanaweza kuzifunga kwanini washindwe kwenye ligi? Au hao jkt wangekuwa wanacheza kwao ndo wangebeba kombe?
Stupidity katika kiwango cha lami yani hujui ata utaka nini, ruhusa kila mtu kuanzisha uzi ila uwe na uwezo wa kutetea hoja yako sio unaruka ruka tu, eti jkt washinde ligi kwa kikosi gani? Kocha gani? budget gani? Unajua kwanini Azam alishinda ligi? Unajua kwanini mtibwa alichukua ubingwa?
Nenda jukwaa la mapenzi huko, huku sio mambo yako mkuu