Ukweli mweusi wa kujifunza kwenye maisha

Ukweli mweusi wa kujifunza kwenye maisha

Joined
Jul 31, 2022
Posts
45
Reaction score
98
1. Watu pekee wanaokupenda kwa dhati pasipo mategemeo ni wazazi/walezi wako.

2. Mapenzi ni hadithi.Pasipo sababu , hakuna rafiki.

3. Cheka na kila mtu lakini usimuamini mtu.

4. Kila mtu husema Ukweli usemwe lakini hakuna anayependa kuusikia ukweli huo.

5. Pesa ina sehemu yenye nguvu kwenye maisha ya kila mmoja wetu,lakini kwa bahati mbaya haiwezi kununua kila kitu.

6. Matarajio huumiza.Tarajia kidogo au usitarajie chochote kutoka kwa watu.

7. Usizifunue siri zako kwa mtu yeyote.

8. Unapoishi maisha ya kawaida unapata muda mzuri wa kufanya mambo yako ya msingi.

9. Hayupo mtu anayefurahia mafanikio yako isipokuwa familia yako(Timu yako).

10. Usiitoe sadaka furaha yako kwa ajili ya mtu yeyote.Utalizwa.

11. Mungu amewapa watu uwezo wa kufanya na sio kujaribu.

Kura yako ni muhimu!
Enjoy.
 
1. Watu pekee wanaokupenda kwa dhati pasipo mategemeo ni wazazi/walezi wako.

2. Mapenzi ni hadithi.Pasipo sababu , hakuna rafiki.

3. Cheka na kila mtu lakini usimuamini mtu.

4. Kila mtu husema Ukweli usemwe lakini hakuna anayependa kuusikia ukweli huo.

5. Pesa ina sehemu yenye nguvu kwenye maisha ya kila mmoja wetu,lakini kwa bahati mbaya haiwezi kununua kila kitu.

6. Matarajio huumiza.Tarajia kidogo au usitarajie chochote kutoka kwa watu.

7. Usizifunue siri zako kwa mtu yeyote.

8. Unapoishi maisha ya kawaida unapata muda mzuri wa kufanya mambo yako ya msingi.

9. Hayupo mtu anayefurahia mafanikio yako isipokuwa familia yako(Timu yako).

10. Usiitoe sadaka furaha yako kwa ajili ya mtu yeyote.Utalizwa.

11. Mungu amewapa watu uwezo wa kufanya na sio kujaribu.

Kura yako ni muhimu!
Enjoy.
Hata huo sio ukweli Kwa watu ambao walitelekezwa na wazazi wao
 
Rafiki yangu mkubwa kuliko vyote ni mimi mwenyewe tu... Ili nipate maximum pleasure huwa natoka alone, naenda sehemu tulivu ambayo mimi ni mgeni na sitarajii kumkuta mtu namfahamu, nachagua sehemu ya peke yangu prefarably kwenye kona, I do what my soul wants, kwa ukimya na utulivu... Naongea na huyu mshikaji tunajua wapi tumekosea and the way forward...
Baada ya kuwa nimekaa na rafiki yangu kipenzi my soul ambaye nipo naye kwa shida na raha ndipo naweza tafuta wana ili tupige stori.
 
Rafiki yangu mkubwa kuliko vyote ni mimi mwenyewe tu... Ili nipate maximum pleasure huwa natoka alone, naenda sehemu tulivu ambayo mimi ni mgeni na sitarajii kumkuta mtu namfahamu, nachagua sehemu ya peke yangu prefarably kwenye kona, I do what my soul wants, kwa ukimya na utulivu... Naongea na huyu mshikaji tunajua wapi tumekosea and the way forward...
Baada ya kuwa nimekaa na rafiki yangu kipenzi my soul ambaye nipo naye kwa shida na raha ndipo naweza tafuta wana ili tupige story
Rafiki yangu mkubwa kuliko vyote ni mimi mwenyewe tu... Ili nipate maximum pleasure huwa natoka alone, naenda sehemu tulivu ambayo mimi ni mgeni na sitarajii kumkuta mtu namfahamu, nachagua sehemu ya peke yangu prefarably kwenye kona, I do what my soul wants, kwa ukimya na utulivu... Naongea na huyu mshikaji tunajua wapi tumekosea and the way forward...
Baada ya kuwa nimekaa na rafiki yangu kipenzi my soul ambaye nipo naye kwa shida na raha ndipo naweza tafuta wana ili tupige stori.
Ni kweli...Hio inaitwa selfassesement and determination..Tuendelee na story
 
Mengi ni sahihi lakini baadhi inategemea mtu na mtu.Hata hivyo kuna baadhi ya elimu za kimaisha ukimfundisha mtu hawezi kukuelewa mpaka ajifunze mwenyewe kupitia uzoefu.Mi nashauri hoja hizi usipoteze muda saana kumkaririsha mtu wako kwa maana nyingine zaweza sababisha ukakasi ktk nyendo/mienendo yake!
 
1. Moja pia sio kweli. Inategemea.

Wazazi wa siku hizi Kama huna kitu wanageuka sehemu ya kukuumiza.

Duniani hakuna atakayekupenda Bure isipokuwa wewe mwenyewe.
Hakuna cha wazazi wala nani
Wazazi ni mlango na nguzo tu hapa dunia saa nyingine nao ni watu hatari...wapo wazazi wachawi wanatoa watoto wao sadaka .

Wapo wazazi wanafanya watoto wao mazezeta ili wawe matajiri ,hii dunia ni uwanja wa fujo fanya mazuri yako mpaka pale utakapokufa hautozikwa na mtu
 
Code za maisha zimechange sana..kadri siku zinavyokwenda ndio mambo pia yanabadilika...ishi kwa tahadhari
 
Back
Top Bottom