Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
MOHAMED GHASSANI AMEZUNGUMZA UKWELI NA UAMINIFU WA MAALIM
Nami naweka ushahidi wangu wa mapenzi waliyokuwa nayo watu Visiwani na Bara kwa Maalim.
Bahati mbaya sana mimi Allah hakunijaalia kipaji cha utunzi wa mashairi wala sauti ya kuyasoma mashairi asomavyo yeye.
Hatuchoki kumsikiliza, ''The Poet.''
Laiti ningekuwa na kipaji kama chake haya niliyosema ningeyatia katika beti na kuyasoma kama yeye.
Bila ya ukweli na uaminifu huwezi kufuatwa na umma ule uliokuwa nyuma ya Maalim hadi umauti ulipomfika.
Nami naweka ushahidi wangu wa mapenzi waliyokuwa nayo watu Visiwani na Bara kwa Maalim.
Bahati mbaya sana mimi Allah hakunijaalia kipaji cha utunzi wa mashairi wala sauti ya kuyasoma mashairi asomavyo yeye.
Hatuchoki kumsikiliza, ''The Poet.''
Laiti ningekuwa na kipaji kama chake haya niliyosema ningeyatia katika beti na kuyasoma kama yeye.
Bila ya ukweli na uaminifu huwezi kufuatwa na umma ule uliokuwa nyuma ya Maalim hadi umauti ulipomfika.