ukweli ndio huu,mamiss toka nje ya dar-es-salaam ni wasindikizaji kwenye mchuano wa miss tanzania

ukweli ndio huu,mamiss toka nje ya dar-es-salaam ni wasindikizaji kwenye mchuano wa miss tanzania

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Toka mashindano ya miss Tanzania yalipoanza ni nadra sana miss tanzania kutoka mkoani.Miss wa Tanzania wengi wanatokea Dar,kwenye wilaya ya kinondoni,temeke na ilala.Miss Tanzania akitoka mikoa mingine inakuwa ni kwa sababu ya kutoa kawama tu kama ilivyokuwa yule miss Mwanza aliyeshinda Miss Tanzania.
Je washiriki wengi toka mikoan hawana vigezo vya kuwa Miss Tanzania,hio ni changamoto kwa wanaoandaa mchuano kutoka nje ya Dar-
Mi nataka kujua kwa nini Mamiss nje ya dar uwa ni wasindikizaji tu wakat Tanzania ina mikoa mingi na urembo siyo dar.
 
na hao ma-miss kutoka dar ndio wasindikizaji kwenye miss world, right?
 
Miss Aspen Tanzania Saida Kessy kutoka Arusha mwaka tisini na ngapi vile?
 
Saida Kessy 1997 - Arusha, Emily Adolf 1995 - Dodoma, Victoria Martin 2007 - Tanga
 
Hoyce temu 1999-Arusha,Nancy sumari 2005 -Arusha bt hil shindano ni uzalishaj wa makah*b* wa viwango vya juu!
Saida Kessy 1997 - Arusha, Emily Adolf 1995 - Dodoma, Victoria Martin 2007 - Tanga
 
Hoyce temu 1999-Arusha,Nancy sumari 2005 -Arusha bt hil shindano ni uzalishaj wa makah*b* wa viwango vya juu!

Dear Ciello una uhakika kweli na unachokisema? Hao uliowataja hapo juu ni zao la hayo mashindano lakini ni makahaba kweli?
Ukahaba ni tabia ya mtu wangu...
 
Back
Top Bottom