Ukweli ndio mapenzi ya kweli?

Ukweli ndio mapenzi ya kweli?

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
461
Jamani wana MMU hapa mwenzenu yamenikuta kujifanya mkweli kwa kila jambo....Jana jioni mama karudi toka kwenye mihangaiko yake, kama kawa nikamhug kimahaba, tukakissiana kama, tukavutana kuelekea MANSION kwetu, sasa hapo kiama kikaja baada ya kumwambia..."Mama kaoge kwanza maana jasho limekupiga sana", mwenzenu kusema tu hivyo mama kaja juu, mie nanuka au sio? nenda katafute wasionuka na maneno kibao tu...Nikajiuliza, mbona nikimwambia leo nimepata hiki hufurahia, nikimwambia jana fulani kanitextia ujumbe huu usome anafurahi....Je, ni vitu gani tuambiane ukweli na vipi tusiambiane? niko Dilema jamani....
 
Mkuu hapo ulisema ukweli but utaratibu uliotumia ndio ulioleta tafrani ungetumia hekima kidogo,ungemsubiri mke wako ili mje muoge pamoja "sweet was just waiting 4 u so that we can take a bath togather" uone kama mambo hayajaanzia hukohuko bafuni
 
Mkuu hapo ulisema ukweli but utaratibu uliotumia ndio ulioleta tafrani ungetumia hekima kidogo,ungemsubiri mke wako ili mje muoge pamoja "sweet was just waiting 4 u so that we can take a bath togather" uone kama mambo hayajaanzia hukohuko bafuni
Kabisa mkuu..
 
Jamani wana MMU hapa mwenzenu yamenikuta kujifanya mkweli kwa kila jambo....Jana jioni mama karudi toka kwenye mihangaiko yake, kama kawa nikamhug kimahaba, tukakissiana kama, tukavutana kuelekea MANSION kwetu, sasa hapo kiama kikaja baada ya kumwambia..."Mama kaoge kwanza maana jasho limekupiga sana", mwenzenu kusema tu hivyo mama kaja juu, mie nanuka au sio? nenda katafute wasionuka na maneno kibao tu...Nikajiuliza, mbona nikimwambia leo nimepata hiki hufurahia, nikimwambia jana fulani kanitextia ujumbe huu usome anafurahi....Je, ni vitu gani tuambiane ukweli na vipi tusiambiane? niko Dilema jamani....

Pole sana. Huyu mwanamke mwenzangu naye ananishangaza, mboana hilo ni jambo la kawaida kwa wapendanao jamani?
Nakushauri, next time ukiona ana majasho kama hivyo, wewe mwambie twende tukaoge mpenzi wangu, hata kama wewe umeoga nendeni tu ili asifikirie vinginevyo. Ila na wewe ulikuwa na haraka sana, kumbuka mlikuwa mmefurahi, ghafla unamletea jambo la kumuudhi, ungevuta subira kidogo pengine asingekasirika
 
Uongo kidogo is allowed,.......aaaaaaahahaha!

hahaha Igwe make i no laugh small ooohhhh....kuna ka ukweli hapa maana...ukigusa kwao tayari ugomvi na unajua wanajua sana where to get u....Ukitaka mkate wa kila siku utaona unageuziwa makalio wakati wa kulala....
 
lol. ulimpokea, ukamhug, ukamkis, ukamvutia kunako....., basi hata bafuni ungempeleka ! kauli uliyo2mia imemkera as far she was exhausted na pilikaz!
 
Mkuu hapo ulisema ukweli but utaratibu uliotumia ndio ulioleta tafrani ungetumia hekima kidogo,ungemsubiri mke wako ili mje muoge pamoja "sweet was just waiting 4 u so that we can take a bath togather" uone kama mambo hayajaanzia hukohuko bafuni

mkuu asante, lkn najitetea kidogo, ujue mie nikirudi mara nyingi huwa akija kwangu namwambia natoa ng'e eeehhh anacheka kweli nakimbia bafuni kuoga....
 
Jamani wana MMU hapa mwenzenu yamenikuta kujifanya mkweli kwa kila jambo....Jana jioni mama karudi toka kwenye mihangaiko yake, kama kawa nikamhug kimahaba, tukakissiana kama, tukavutana kuelekea MANSION kwetu, sasa hapo kiama kikaja baada ya kumwambia..."Mama kaoge kwanza maana jasho limekupiga sana", mwenzenu kusema tu hivyo mama kaja juu, mie nanuka au sio? nenda katafute wasionuka na maneno kibao tu...Nikajiuliza, mbona nikimwambia leo nimepata hiki hufurahia, nikimwambia jana fulani kanitextia ujumbe huu usome anafurahi....Je, ni vitu gani tuambiane ukweli na vipi tusiambiane? niko Dilema jamani....
Huyo hajiamini!!
 
Hahahaha lohhhh

Magu bana pole sana..
Ulichomwambia ni sawa..
Ila njia au njinsi ulivyomwambia dahhh
Uliharibu...

Ungeremba kidogo, weka maneno mawili
Matatu matamu..au vipi..

Kwanza AD ujue hapo namwambia hivyo tayari jikoni yale mambo ya LIZZY yalikuwa tayari...niliremba utadhani ndo siku ya kwanza tunakutana...Hapo AD najua kusema mpaka yeye ananambiaga najua kusema...UKWELI UMENIPONZA au?
 
Pole sana. Huyu mwanamke mwenzangu naye ananishangaza, mboana hilo ni jambo la kawaida kwa wapendanao jamani?
Nakushauri, next time ukiona ana majasho kama hivyo, wewe mwambie twende tukaoge mpenzi wangu, hata kama wewe umeoga nendeni tu ili asifikirie vinginevyo. Ila na wewe ulikuwa na haraka sana, kumbuka mlikuwa mmefurahi, ghafla unamletea jambo la kumuudhi, ungevuta subira kidogo pengine asingekasirika

Halafu kakimbilia kunyimana mavituuzi jamani...ugomvi wowote yeye anakimbilia kule tu....nakwambia niliandaa mishumaa, ma wine acha tu...ugomvi ukaharibu kila kitu....
 
mkuu asante, lkn najitetea kidogo, ujue mie nikirudi mara nyingi huwa akija kwangu namwambia natoa ng'e eeehhh anacheka kweli nakimbia bafuni kuoga....

Sawa mkuu but kila mtu ana threshold yake kuhimili matani we unaweza but mwenzio hawezi,may be she also had along day huko alikokuwa ndio maana akawa sensitive hivyo.Na kila mtu akichoka anakua easily kukasirika
 
lol. ulimpokea, ukamhug, ukamkis, ukamvutia kunako....., basi hata bafuni ungempeleka ! kauli uliyo2mia imemkera as far she was exhausted na pilikaz!

Mkuu asante sana lkn mbona sasa kakimbilia kuninyima ile zawadi ya Ushindi au kunikomoa?
 
Sawa mkuu but kila mtu ana threshold yake kuhimili matani we unaweza but mwenzio hawezi,may be she also had along day huko alikokuwa ndio maana akawa sensitive hivyo.Na kila mtu akichoka anakua easily kukasirika

yawezekana eeehhhh...leo naandaa yale mambo ya LIZZY ya kufa mtu....na ma sorry kibao au sio mkuu?
 
Anajiamini sana mkuu..she is one in zillions...
Matendo yake hayaoneshi kujiamini,mtu anaejiamini hawezi kukasirika anapoambiwa ukweli,unless unatania na thread yako hii,kama ni kweli aliropoka hayo ukweli ni kuwa hajiamini!
 
Back
Top Bottom