Ukweli ndio mapenzi ya kweli?

Matendo yake hayaoneshi kujiamini,mtu anaejiamini hawezi kukasirika anapoambiwa ukweli,unless unatania na thread yako hii,kama ni kweli aliropoka hayo ukweli ni kuwa hajiamini!

mku sitanii ni ukweli
 
Bwana mdogo, wenzako hilo jasho huwa tunalilamba mpaka linakauka sasa wewe unalalamika nini hapa?Naomba siku moja unipatie shemeji akiwa katika hali hiyo.
 
Halafu kakimbilia kunyimana mavituuzi jamani...ugomvi wowote yeye anakimbilia kule tu....nakwambia niliandaa mishumaa, ma wine acha tu...ugomvi ukaharibu kila kitu....
Hili ni tatizo lingine,inaonekana mkeo anajua sana kuwa unapenda sana mavituz so anataka kutumia udhaifu wako kukuadhibu,hiyo sio tabia nzuri kwa mwanamke mwenye hekima hawezi kufanya hayo,nakushauri usimwombe radhi,hujafanya kosa,anataka kukuadhibu kwa udhaifu wako,ukisinyaa utafanya kosa lingine kubwa,utaonekana huna msimamo mbele ya mkeo,belive me mwanamke akijua huna msimamo ni tatizo kubwa,mwambie alikua na jasho na ni lazima akaoge BASI!Kuwa jasiri,kwani ni kipi hasa unaogopa????
 
Halafu kakimbilia kunyimana mavituuzi jamani...ugomvi wowote yeye anakimbilia kule tu....nakwambia niliandaa mishumaa, ma wine acha tu...ugomvi ukaharibu kila kitu....
Pole sana fanya kama nilivyosema hapo juu utaona matokeo
 
Bwana mdogo, wenzako hilo jasho huwa tunalilamba mpaka linakauka sasa wewe unalalamika nini hapa?Naomba siku moja unipatie shemeji akiwa katika hali hiyo.

kwanza niwie radhi kwa kuniita bwana mdogo....pili kulamba sio hoja hoja ni ukweli.....Mie naramba hadi kinyesi sembuse hilo jasho.....Nakula kila kitu mie kunako malavidavi....
 

umekuna kunako mkuu...nile bati tu au sio....
 
kwanza niwie radhi kwa kuniita bwana mdogo....pili kulamba sio hoja hoja ni ukweli.....Mie naramba hadi kinyesi sembuse hilo jasho.....Nakula kila kitu mie kunako malavidavi....
e
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, punguza hasira Magulumangu.

back to the topic, kosa ulilolifanya ni namna ulivyomwambia mwenzako, siku nyingine mpelekane wote, muoge wote.
 
huyo ni mlugaluga sasa anataka kusifiwa hata pasipo stahili....dawa yake yale asiyopenda wewe mfanyie then ataelewa tuuuu ...
 

Kwanini ameshtuka hivyo??!..labda alikuwa na siku mbaya kazini!..aki-cool down ongea nae, mwambie hukuwa na nia mbaya!!..kwahiyo hamkuendeleza 'mansion game' tena???
 
Ulimwambia ukweli kuwa ananuka!? He, unampenda halafu unahisi ananuka vibaya?! No, ipo namna huitamki. Pengine ulihisi kachakachuliwa. Hata hivyo ulilonena, kama ulikuwa na nia nzuri hukuliweka vizuri. Hebu fikiri hii, pengine alikuwa kachakachuliwa huko nawe unamwambia akaoge! Hiyo guilty consciousness lazima imfanye awe mbogo. Pole lakini.
 
Kwanini ameshtuka hivyo??!..labda alikuwa na siku mbaya kazini!..aki-cool down ongea nae, mwambie hukuwa na nia mbaya!!..kwahiyo hamkuendeleza 'mansion game' tena???

nakwambia ilifutwa halafu kulikuwa na wine la kufa mtu, yale mambo ya LIZZY maakuli niliandaa, mwendo wa candle light tuu lkn ndo hivyo tena....
 

Umesoma btn the lines lkn mkuu? Sina mawazo machafu na mke wangu hata siku moja na wala sifikirii anaweza fanya kitu kibaya juu yangu....by the way asante kwa ushauri ila sorry sitauchukua....
 
huyo ni mlugaluga sasa anataka kusifiwa hata pasipo stahili....dawa yake yale asiyopenda wewe mfanyie then ataelewa tuuuu ...

Mlugaluga ndo nini wewe? vipi umefunga facebook yako?
 
e
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, punguza hasira Magulumangu.

back to the topic, kosa ulilolifanya ni namna ulivyomwambia mwenzako, siku nyingine mpelekane wote, muoge wote.

itabidi tu niwe naenda nae kuoga....anaambiwa kwa vitendo au sio?lkn hapo sitakuwa mkweli sasa?
 
nakwambia ilifutwa halafu kulikuwa na wine la kufa mtu, yale mambo ya LIZZY maakuli niliandaa, mwendo wa candle light tuu lkn ndo hivyo tena....

Aisee pole sana na kama ulikuwa na mhemko wa hali ya juu ulibaki ukisikilizia maumivu tu!!..! sasa inabidi umwelewe mwenza wako, muda gani wa kumwambia/kumkosoa vitu!!..tena mkiwa na furaha unaweza kuichomekea hiyo topic usikie comments zake!!..
Hadi maakuli akachomoa, kweli anacheza makida makida kwenye nyaya za simu🙂)) msamehe bure!!
 
Umesoma btn the lines lkn mkuu? Sina mawazo machafu na mke wangu hata siku moja na wala sifikirii anaweza fanya kitu kibaya juu yangu....by the way asante kwa ushauri ila sorry sitauchukua....
Ni vizuri kutokuwa na mawazo machafu kwa mkeo/mmeo (hata kama atafanya uchafu). Hii ndo maana ya ndoa. Ila sentensi yako Mama kaoge kwanza maana jasho limekupiga sana" inaleta tafsiri nyingi mno, zilizo sahihi na zisizo. Uvumilivu unatakiwa.
 

nakwambia si manjua nyie vizuri sana how to turn back wakati wa kulala, Unaambiwa niligumia tu maumivu, nilijaribu kuja hapa JF kujipoza wapi...dah noma....nitajaribu kurusha tena midae akiwa fresh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…