pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 654
Niande tu kwa kusema mkataba na maagano ni vitu ambavyo ni muhimu sana kuangalia katika maisha kabla hujaingia
Kwa kiswahili sanifu agano ni tokeo la kukubaliana au kuwekeana ahadi au mapatano
Mapatano ni maafiiano, makubaliano ,agano na ahadi
Mapatano au maagano huzaa mkataba
Mkataba ni makubaliano yaliyofikiwa kwa kuandikiana baina ya watu au vikundi viwili kufanya jambo au kazi fulani
Leo nazungumzia mkataba wa ndoa
Hii mikataba imegawanyika kwenye makundi mbali lakini makuu ni matatu
Aina ya kwanza mkataba wa ndoa inayoambana na mlengo wa dini fulani kama ukristo au uislam. Kwa kawaida huu mkataba huwa unajali sana vipengele na misingi ya dini husika. Katika dini zote mbili zinafanana kwa maana ya kuwa mwanamke ni msaidizi wa mwanaume na hayuko sawa na mwanaume kimaamuzi. Ni kama rais, makamu ni msaidizi wake na inamaanisha rais anaweza kumtuma lakini sio makamu kumtuma rais zaidi ya kumshauri. Tofauti ya dini hizi mbili ni idadi ya wanawake wa kuoa.
Matatizo mengi tunayoyaona sana kwenye ndoa za hasa sisi vijana ambao huwa tunaingia kwa hisia pekee bila kujua undani zaidi inakuwa shida. Ndoa za wazazi wetu zilidumu maana walijua maana ya mkataba na dini waliyoingilia huo mkataba.
Matatzi yalikuja pale tulipoanza habari za usawa. Kwa ukristo haki ya mwanamke ni kupendwa tu na kupewa mahitaji ya msingi. Wajibu wa mwanamke ni utii kwa mume wake na hilo halina mjadala. Hili ndio limekuwa kero kwenye ndoa sana. Wengi hawajui kutii na kunyenyekea inamaanisha nini.
Mambo ya kukosa utii yameleta habari ya usawa ambao sasa unatafuna mataifa kama japani. Wanawake hawataki kuzaa tena maana wako busy kutafuta. Sasa japan in dying population mpaka imefikia wakati ukizaa unalipwa
Kama wewe ni mkristo na umefunga ndoa ya kikristo inamaanisha umeingia mkataba wa kuishi ndoa ya kikristo au kiisilam ambazo hazitambui usawa. Kazi yako wewe ni kutii mume wako. Usifurahia sherehe kubwa bila kuelewa mkataba ulio ndani yake
Mkataba wa pili ni ndoa za bomani. Hizi ni ndoa za zisizoambana na mlengo wa dini yoyote. Hizi huwa zinakwenda kwa shera za nchi. Huku kuna usawa mwingi maana mbele ya sheria wote sawa. Lakini kwenye dini nafasi zetu ni tofauti sana. Mtazamo wangu kwa kuangalia mataifa yalioyoendelea aina hii ya ndoa ni hatari kwa ustawi wa jamii kabisa. Angalia mfano wa japan na italia
Mkataba wa tatu ni ndoa za kimila ambao zinafanana na za kidini ila zenyewe huwa zinaendeshwa na mila za kabila husika. Ili ufurahie ndoa hii ni vyema kuoa mtu wa kabila lako anayejua mila za kwenu vizuri
Haya mambo mengine tunajipa shida maana tunakengeuka masharti ya mikataba na maagano tuliyowekaa. Mara nyingi zipo shida nyingi sana za kuvunja mikataba na maagano
Jumapili njema
Kwa kiswahili sanifu agano ni tokeo la kukubaliana au kuwekeana ahadi au mapatano
Mapatano ni maafiiano, makubaliano ,agano na ahadi
Mapatano au maagano huzaa mkataba
Mkataba ni makubaliano yaliyofikiwa kwa kuandikiana baina ya watu au vikundi viwili kufanya jambo au kazi fulani
Leo nazungumzia mkataba wa ndoa
Hii mikataba imegawanyika kwenye makundi mbali lakini makuu ni matatu
Aina ya kwanza mkataba wa ndoa inayoambana na mlengo wa dini fulani kama ukristo au uislam. Kwa kawaida huu mkataba huwa unajali sana vipengele na misingi ya dini husika. Katika dini zote mbili zinafanana kwa maana ya kuwa mwanamke ni msaidizi wa mwanaume na hayuko sawa na mwanaume kimaamuzi. Ni kama rais, makamu ni msaidizi wake na inamaanisha rais anaweza kumtuma lakini sio makamu kumtuma rais zaidi ya kumshauri. Tofauti ya dini hizi mbili ni idadi ya wanawake wa kuoa.
Matatizo mengi tunayoyaona sana kwenye ndoa za hasa sisi vijana ambao huwa tunaingia kwa hisia pekee bila kujua undani zaidi inakuwa shida. Ndoa za wazazi wetu zilidumu maana walijua maana ya mkataba na dini waliyoingilia huo mkataba.
Matatzi yalikuja pale tulipoanza habari za usawa. Kwa ukristo haki ya mwanamke ni kupendwa tu na kupewa mahitaji ya msingi. Wajibu wa mwanamke ni utii kwa mume wake na hilo halina mjadala. Hili ndio limekuwa kero kwenye ndoa sana. Wengi hawajui kutii na kunyenyekea inamaanisha nini.
Mambo ya kukosa utii yameleta habari ya usawa ambao sasa unatafuna mataifa kama japani. Wanawake hawataki kuzaa tena maana wako busy kutafuta. Sasa japan in dying population mpaka imefikia wakati ukizaa unalipwa
Kama wewe ni mkristo na umefunga ndoa ya kikristo inamaanisha umeingia mkataba wa kuishi ndoa ya kikristo au kiisilam ambazo hazitambui usawa. Kazi yako wewe ni kutii mume wako. Usifurahia sherehe kubwa bila kuelewa mkataba ulio ndani yake
Mkataba wa pili ni ndoa za bomani. Hizi ni ndoa za zisizoambana na mlengo wa dini yoyote. Hizi huwa zinakwenda kwa shera za nchi. Huku kuna usawa mwingi maana mbele ya sheria wote sawa. Lakini kwenye dini nafasi zetu ni tofauti sana. Mtazamo wangu kwa kuangalia mataifa yalioyoendelea aina hii ya ndoa ni hatari kwa ustawi wa jamii kabisa. Angalia mfano wa japan na italia
Mkataba wa tatu ni ndoa za kimila ambao zinafanana na za kidini ila zenyewe huwa zinaendeshwa na mila za kabila husika. Ili ufurahie ndoa hii ni vyema kuoa mtu wa kabila lako anayejua mila za kwenu vizuri
Haya mambo mengine tunajipa shida maana tunakengeuka masharti ya mikataba na maagano tuliyowekaa. Mara nyingi zipo shida nyingi sana za kuvunja mikataba na maagano
Jumapili njema