Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Jamaa ni mjivuni hasa na ni mtu wa nyodo!
Bahati mbaya sana kwa wasiomtambua kwa undani hu-fake kwao eti ni mtu asiye na mawaa na ni mtu wa watu jambo ambalo si kweli alivyo.
Kwa dharau zake sioni ni kwa namna ipi ataepuka nongwa na mashambulio kutoka kwa wawakilishi wenzake.
Wabunge wengi wanampenda kinafiki na wengi wao wanaombea anguko lake litimu.
Bahati mbaya sana kwa wasiomtambua kwa undani hu-fake kwao eti ni mtu asiye na mawaa na ni mtu wa watu jambo ambalo si kweli alivyo.
Kwa dharau zake sioni ni kwa namna ipi ataepuka nongwa na mashambulio kutoka kwa wawakilishi wenzake.
Wabunge wengi wanampenda kinafiki na wengi wao wanaombea anguko lake litimu.