Kuna jambo la kushangaza kidogo.
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu katika biblia,kuna laana zilitamkwa na Mungu baada ya wazazi wetu kufanya dhambi.
Katika laana zilizotolewa,ni pamoja na ile kuwa mwanamke atazaa kwa uchungu na tamaa yake itakuwa kwa mumewe.
Katika hizo laana,kuzaa kwa uchungu wengi hawaiepuki.Lakini hii ya tamaa yako kuwa kwa mumeo,wanawake wengi wenye kipato wameiepuka.Wengi wameingia mikataba na ibilisi ambaye amewaahidi furaha na amani kwa kuikataa laana hiyo ya tamaa yao kuwa kwa mumewe.
Wengi hawana tamaa kwa waume zao na ndio maana wanawadharau.Na wanataka uhuru ili wakapate farijiko la kihisia kutoka kwa wanaume wanaowataka.
Katika dunia ya sasa,shetani anafanya ngono na wanawake wenye mafanikio ya uchumi.Ngono hii hufanyika kupitia wanaume wanaoonekana kama watu kwa kila namna lakini ukweli ni majini katika maumbile ya watu ama wakati mwingine ni watu waliojazwa nguvu za kishetani.
Sio rahisi binadamu wa kawaida kushindana na shetani katika kumridhisha mwanamke.
Mwanamke ni kiumbe pekee ambaye hata Mungu hajaweza kumridhisha ila huridhishwa na shetani.
Mwanamke huwa yuko kwenye mapambano makali hadi pale atakapokutana na shetani ndipo hutulia na kuridhika.
Mwanamke asipomcha Mungu,na kukubali kuwa mnyenyekevu,ni mali ya ibilisi asilimia mia
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu katika biblia,kuna laana zilitamkwa na Mungu baada ya wazazi wetu kufanya dhambi.
Katika laana zilizotolewa,ni pamoja na ile kuwa mwanamke atazaa kwa uchungu na tamaa yake itakuwa kwa mumewe.
Katika hizo laana,kuzaa kwa uchungu wengi hawaiepuki.Lakini hii ya tamaa yako kuwa kwa mumeo,wanawake wengi wenye kipato wameiepuka.Wengi wameingia mikataba na ibilisi ambaye amewaahidi furaha na amani kwa kuikataa laana hiyo ya tamaa yao kuwa kwa mumewe.
Wengi hawana tamaa kwa waume zao na ndio maana wanawadharau.Na wanataka uhuru ili wakapate farijiko la kihisia kutoka kwa wanaume wanaowataka.
Katika dunia ya sasa,shetani anafanya ngono na wanawake wenye mafanikio ya uchumi.Ngono hii hufanyika kupitia wanaume wanaoonekana kama watu kwa kila namna lakini ukweli ni majini katika maumbile ya watu ama wakati mwingine ni watu waliojazwa nguvu za kishetani.
Sio rahisi binadamu wa kawaida kushindana na shetani katika kumridhisha mwanamke.
Mwanamke ni kiumbe pekee ambaye hata Mungu hajaweza kumridhisha ila huridhishwa na shetani.
Mwanamke huwa yuko kwenye mapambano makali hadi pale atakapokutana na shetani ndipo hutulia na kuridhika.
Mwanamke asipomcha Mungu,na kukubali kuwa mnyenyekevu,ni mali ya ibilisi asilimia mia