Ukweli ni kwamba Yanga wako tayari kwa gharama yoyote ili mradi wabadili viwalo

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Tatizo hapa sio mdhamini. Tatizo ni viwalo.

Yanga wako tayari kutoa pesa zozote kuvunja mkataba ili wabadili viwalo.

Lile neno sport pesa limeshawachosha tu.Yanga ni kama mke tu wa manara hasikii la shehe wala muazini ( muadhin).

Hawa wanaojiita wafadhili ni ili mradi tu kuficha ficha mambo ila pesa zao wanazitoa kwenye wizi uliofanyika zamani.Kuna mihela mingi huko haina kazi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kusema uto wote ni wanawake wamechoshwa na ndoa ya mume wao (sportpesa)?
 
Ndio maana Mangungu anawaendesha kama malofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…