T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 May 17, 2011 #1 Habari za wakati wadau wa elimu.Naomba kuuliza JE,watakaofanya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2012 watatumia silabasi za zamani au mpya?JE,Silabasi mpya inapatikana wapi?Naomba kama kuna mtu anayo anipe ya History ,Kiswahili na English.
Habari za wakati wadau wa elimu.Naomba kuuliza JE,watakaofanya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2012 watatumia silabasi za zamani au mpya?JE,Silabasi mpya inapatikana wapi?Naomba kama kuna mtu anayo anipe ya History ,Kiswahili na English.