Katika maisha kuna mambo mengi sana unaweza kutana na Jambo fulani ambalo linahitaji ushahidi wako ili haki iweze kutendeka au jambo flani lililofichika liwezs kufichuliwa na wewe ndio Mtu pekee unaeujua ukweli huo. Wapo wengi ambao huuficha na kufa nao moyoni lakini wengine kwa Upendo wao husema ukweli wakidhani wanasaidia kumbe wanajiangamiza au kuumiza wengine..!!
Ukweli gani uliowahi kuusema au kuuficha ukakuponza???