big soap
Senior Member
- Feb 22, 2020
- 197
- 270
Tupeane pole kwa mihangaiko na harakati za kimaisha wote me na ke.
1. Wanawake kuvaa nguo vupi au zenye kubana na kuonyesha maumbile. nje ya utamaduni, nje ya utamaduni.
2. Kutolegeza mashart ya kuoa au kuolewa, utasikia mahari million kumi "pumbavu" million mbili sijawai kuishika_
3. Kukumbatiana na kusogezeana vikojoleo alafu ni ndugu wa heshima_ waafrika tuna joto la mapenzi na nyege kali_ upuuzi sio wa kuufagilia.
4. Nguvu kazi ipo ya kutosha na ipo mjini kwa asilimia kubwa au bush. wanauza karanga, mayai nk. Tutasikia kwa bomba suala la maendeleo
5. Kufagilia mfumo wa elimu ambao unapoteza nguvu kazi na akili bunifu kwenye peni na karatasi. Shule au elimu bora vijana nguvu kazi lazima itumike kwenye kujenga vitu vinavyogusika.
6. kupiga sho off, ♂️ kivile na hauna sababu za msingi sana, Hajaoa kazi kuzichakacha tu papuchi.
7. ibadani na vimini, suruari za kubana kwa ke & me. Tujitaidi kuishi kulingana na sehemu.
8. utandawazi ni balaaaa sana, kazi bila dawa sawa na ugonjwa bila tiba___
9. ........
10. ........
etc .............
1. Wanawake kuvaa nguo vupi au zenye kubana na kuonyesha maumbile. nje ya utamaduni, nje ya utamaduni.
2. Kutolegeza mashart ya kuoa au kuolewa, utasikia mahari million kumi "pumbavu" million mbili sijawai kuishika_
3. Kukumbatiana na kusogezeana vikojoleo alafu ni ndugu wa heshima_ waafrika tuna joto la mapenzi na nyege kali_ upuuzi sio wa kuufagilia.
4. Nguvu kazi ipo ya kutosha na ipo mjini kwa asilimia kubwa au bush. wanauza karanga, mayai nk. Tutasikia kwa bomba suala la maendeleo
5. Kufagilia mfumo wa elimu ambao unapoteza nguvu kazi na akili bunifu kwenye peni na karatasi. Shule au elimu bora vijana nguvu kazi lazima itumike kwenye kujenga vitu vinavyogusika.
6. kupiga sho off, ♂️ kivile na hauna sababu za msingi sana, Hajaoa kazi kuzichakacha tu papuchi.
7. ibadani na vimini, suruari za kubana kwa ke & me. Tujitaidi kuishi kulingana na sehemu.
8. utandawazi ni balaaaa sana, kazi bila dawa sawa na ugonjwa bila tiba___
9. ........
10. ........
etc .............