Ukweli usemwe Jeshi la Kenya limeishindwa Haiti, Magenge yanaitwaa tena Airport

Ukweli usemwe Jeshi la Kenya limeishindwa Haiti, Magenge yanaitwaa tena Airport

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Baada KDF kushindwa Congo na wacongo wakaamua kuwaondoa sasa jeshi la polisi la Kenya limeishindwa Haiti kabisa, mitaa haikaliki, shule zinafungwa, hospitali zimejaa wahanga wa vurugu na kuzidiwa idadi.

Leo baraza la usalama la umoja wa mataifa linajadili kutafuta askari wengine kutoka nchi nyingine kwenda Haiti, polisi ya kenya ni dhaifu sana, halina nidhamu na linashindwa na wakola tu.

USSR
 
Baada KDF kushindwa Congo na wacongo wakaamua kuwaondoa sasa jeshi la polisi la kenya limeishindwa Haiti kabisa ,mitaa haikaliki, shule zinafungwa , hospitali zimejaa wahanga wa vurugu na kuzidiwa idadi.

Leo baraza la usalama la umoja wa mataifa linajadili kutafuta askari wengine kutoka nchi nyingine kwenda Haiti , polisi ya kenya ni dhaifu sana ,halina nidhamu na linashindwa na wakola tu


USSR
Hao ni polisi, si jeshi. Na kule wana sheria zinazowafunga mikono, wanashindwa ku operate at full max.
Jeshi in other side wana rules zingine unlike police
 
Hao ni polisi, si jeshi. Na kule wana sheria zinazowafunga mikono, wanashindwa ku operate at full max.
Jeshi in other side wana rules zingine unlike police
Jeshi la Kenya walikimbia Congo
 
Ila wamejikaza kaza sana wazee lile jamaa linaitwa sijui baba shop sijui bana nini balaa lakini naona idadi ya casualties kwa Kenya ni ndogo sana na walishachukua baadhi ya maeneo
 
Hawajashindwa. Walikwenda kutengeza fedha wasijue kitaumana. Sijui hata kama watarejea hai zaidi ya kurejeshwa kwenye majeneza.
 
Back
Top Bottom