Ukweli usemwe, Mayele na Fei toto ndio walioileta Yanga kwenye ramani ya Soka la kimataifa

duh kwahiyo ni wao waliotoa fedha kuijenga yanga?
 
Bhange....
 
Pumba tupu.

Mayele na Fei Toto walikuwa wa ajili Lana wapi kabla ya kuja Yanga.

Unaondika kama una tumbo la kuendesha
 
Asante kwa kulewa
 
sio mayele wala fei Bali Uongozi mzuri ndiyo umeipaisha yanga .
Mpira sio tennis useme mchezaji mmoja au Wawili ndiyo wanacheza na vilevile unatakiwa kujua mchezaji ni mtumishi kama watumishi wengine , analipwa afanye kazi sio amateur.

Na mayele alibebwa na mfumo wa Nabi na benchi lake la ufundi aka ng’ara , sasahivi ameshuka Kiwango .
 
It is the other way round. Mayele na Fei wanepatia umaarufu wao Yanga. Kama unabisha huko walipo wamefanya maajabu gani na Yanga iko wapi? Kabla ya kuja Yanga walikuwa na huo umaarufu? No.
 
Feitoto huyu huyu ambaye hakucheza mechi zaidi ya 10 na Yanga ikachukua ubingwa wa ligi, kombe la Azam shirikisho na kwenda fainali CAFCC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…