Ukweli usemwe Waandishi wa Habari wa Tanzania wamekosa ubunifu

Ukweli usemwe Waandishi wa Habari wa Tanzania wamekosa ubunifu

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Yani wengi wao wanaenda na matukuo huwezi kujua unique waandishi professional. Mfano hivi vi online tv ndio takataka kabisa yaani kama wanakusanyana mtu mmoja akiojiwa vi-mic vimejazana utadhani wapo sokoni.

Sijaona waandishi ambao wamejitenga na taaluma zao yani siasa yumo, Ngorongoro yumo, michezo yumo kila jambo.

Tatizo ni nini?
 
Mtu mmoja akienda viral kila mwandishi anaanza kufatilia habari zake. Nimeona walivyomfatilia komando madafu hadi kero. Hawq ndo wqnachochea kuzaliwa kwa supastaa maskin wa kutupwa
 
Back
Top Bottom