Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
In a very serious note, Wazenji Wana uchungu na Nchi/kisiwa Chao, wanajua Haki zao na Wanajua kujenga hoja na kutafuta fursa kwa ajili yao na Ndugu zako na kesho Yao.
To be honest, Zanzibar wangepewa TANGANYIKA Leo hii, huu upumbavu unapendelea I am sure usingekuepo. Sio Vibaya kujipenda na kuipenda Nchi yako. Wale Jamaa hata IQ Yao iko juu kuliko hawa Watanganyika.
Ukweli usemwe, TANGANYIKA ni nanihii Sana Sana, tuamke
To be honest, Zanzibar wangepewa TANGANYIKA Leo hii, huu upumbavu unapendelea I am sure usingekuepo. Sio Vibaya kujipenda na kuipenda Nchi yako. Wale Jamaa hata IQ Yao iko juu kuliko hawa Watanganyika.
Ukweli usemwe, TANGANYIKA ni nanihii Sana Sana, tuamke