Ukweli usiopingika

Joined
Feb 22, 2017
Posts
18
Reaction score
23
Wanaume waoga na wasiojiamini humu JF ni wale ambao majina yao halisi ni tofauti na username zao...
[emoji89] [emoji89] [emoji89]
Maoni yako ni lazima maana umo kwenye list [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Xmass njema
 
Wanaume waoga na wasiojiamini humu JF ni wale ambao majina yao halisi ni tofauti na username zao...
[emoji89] [emoji89] [emoji89]
Maoni yako ni lazima maana umo kwenye list [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Xmass njema
Lakini moderator anajua majina halisi pia.
 
shida inakuja unapocreate account,unakuta tayari kuna mtu mwenye id inayofanana na jina lako so ili ucreate account you have to choose another name ambalo litakuwa tofauti na members wote uliowakuta jf
 
Mfano,mi mpaka nimeweka hiyo Hammy Js ni kwamba niliweka Hammy J nikaambiwa username ina mtu ikabid niongeze hiyo "s" ndio ikakubali
 
That's why ikaitwa JF...unachokiwaza sicho akiwazacho mwenzako.
Ni jukwaa huru la watu kujumuika na kubadilishana maarifa.Hapa username siyo issue sana vinginevyo mods wangeweza kuweka condition hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…