Ukweli usioujua kuhusu biashara

Ukweli usioujua kuhusu biashara

Dkt Mwijuma

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2023
Posts
205
Reaction score
607
Ni matumaini yangu hamjambo wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada, nimefanya utafiti karibu biashara zote kubwa na ndogo aisee my friend biashara haitaki usamalia.

Hakuna mfanyabiashara kafanikiwa bila kufanya uhuni, biashara zina uhuni mwingi sana, kuna jamaa ni tajiri mkubwa sana alikuwa ana duka la vifaa vya kielectronic

Jamaa alikuwa anachanganya mzigo OG na fake, alikuwa anaenda China kuchongewa subofer fake mfano anauza subofer za abooder zinakuwemo OG na fake za kuchonga humo humo ndani

Na hii unakuta mmenunua bidhaa moja kwenye duka moja ila ww yako inachoka mapema ya mwenzako inapeta

Kwenye mabaa pombe fekii ni nyingi sana, Simu ndio usiseme,, Nguo hapa ndio balaaa

Watu wanatafuta asali kuna jamaa wananunua asali Mpanda na Tabora kisha wanazitia maji na kuzipika

Maduka ya vifaa vya ujenzi Rangi, Cement nk yana vitu feki vingi sana,, ukienda dukan kuchukua rangi ukaikosa then mwenye duka akakuambia wanaweza kuchanganya kuwa makini sana kuna kupigwa hapo ww ulitaka Plascon ambayo inauzwa laki 2 na kitu utachanganyiwa Robbialac za laki na nusu

Hii iwafikie ma- interpreneur wote biashara haitaki usamalia utaanza na mtaji wa mil 6 baada ya mda utajikuta unarudi nyuma biashara za faida halali ni chache sana zinazokua
 
sio kweli unaweza tajirika vizuri tuu Kwa kutoa huduma nzuri..kinachosababisha hayo mamb unavyosema ni tamaaa tuuu za wafanyabiashara,,na kupenda shortcut na Hela za mkato....


Tamaa..tamaaa.tamaaaa..ndio mentally ya wafanyabiashara wengi thus why mabidhaaa feki ni mengi..chanzo Cha bidhaaa feki ni tamaaaa za wafanyabiashara.
 
sio kweli unaweza tajirika vizuri tuu Kwa kutoa huduma nzuri..kinachosababisha hayo mamb unavyosema ni tamaaa tuuu za wafanyabiashara,,na kupenda shortcut na Hela za mkato....


Tamaa..tamaaa.tamaaaa..ndio mentally ya wafanyabiashara wengi thus why mabidhaaa feki ni mengi..chanzo Cha bidhaaa feki ni tamaaaa za wafanyabiashara.
Ww unafanya biashara gani mda huu?
 
Tamaa zako ndio zinakufanya ukimbie..unataka utajiri wa haraka bila kujua ni mchakato...wengine wenu mna tamaaa ndio mnatuletea mabidhaaa feki sokoni... shame to you!!!
Ni biashara ipi unafanya hapo mkuu,, utajiri ni kitu kinakuna mda mfupi sana

Hao matajiri unaowajua ww, walitoka mbali wakaja kuupata utajiri kwa mda mfupi sana

Inategemea unaingiza kias gan kwa siku,, faida yako 20,000 par day ule, uvae ww na familia yako, matibabu, usafiri, ada nk utafanya biashara mpaka Yesu arudi ukiwa hivyoo hivyo

Utajiri unakuja pale ambapo biashara unayofanya unakupa faida kubwa, sio mda
 
Ni biashara ipi unafanya hapo mkuu,, utajiri ni kitu kinakuna mda mfupi sana

Hao matajiri unaowajua ww, walitoka mbali wakaja kuupata utajiri kwa mda mfupi sana

Inategemea unaingiza kias gan kwa siku,, faida yako 20,000 par day ule, uvae ww na familia yako, matibabu, usafiri, ada nk utafanya biashara mpaka Yesu arudi ukiwa hivyoo hivyo

Utajiri unakuja pale ambapo biashara unayofanya unakupa faida kubwa, sio mda
so ww unaona suluhusho ni kuleta bidhaa feki na kuwachanganyia wateja wako..hapo ni kutafuta short cut mkuuu jambo ambalo sio poa
 
Hata ukiuza bidhaa feki kama hauna tabia za kibepari hautatoboa.

Biashara inahitaji ubepari na sio uhuni.
sure utajiri ni lazima utafute kundi la watu uwanyonye kwel kwel ..watumie wazalishe Kwa niaba Yako..ndivyo matajir wengi wanavyofanya but wanahakikisha mnyonywaji hatambui kama ananyonywa Bali anaona kama anasaidiwa..

Refer wanasiasa,, wafanyabiashara kama kina moooo,baresa,wahindi namna wanavyowanyonya na kuwatumikisha wafanyakazi wao,,..wahubiri wa injili kama kina mwamposa,gwajima na kakobe...masheki kama yule wa nyota aliyekufa....nk

The same Kwa mataifa makubwa America ni super power coz wananyonya mataifa mengine Kwa njia mabalimb.
 
sure utajiri ni lazima utafute kundi la watu uwanyonye kwel kwel ..watumie wazalishe Kwa niaba Yako..ndivyo matajir wengi wanavyofanya but wanahakikisha mnyonywaji hatambui kama ananyonywa Bali anaona kama anasaidiwa..

Refer wanasiasa,, wafanyabiashara kama kina moooo,baresa,wahindi namna wanavyowanyonya na kuwatumikisha wafanyakazi wao,,..wahubiri wa injili kama kina mwamposa,gwajima na kakobe...masheki kama yule wa nyota aliyekufa....nk

The same Kwa mataifa makubwa America ni super power coz wananyonya mataifa mengine Kwa njia mabalimb.
Na ndio ubepari huo.
 
Back
Top Bottom