Ukweli wa historia ya TANU

Ukweli wa historia ya TANU

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Kauli ya kuwa Julius Nyerere aliwaambia, "Wavunje chama chao," Mzee Msekwa kamkusudia Abdul Sykes lakini kukosa ujasiri wa kulitaja jina la Abdul kwani jina hili kutajwa na kuhusishwa na TANU ilikuwa ni mwiko mkubwa.

Ilikuwa ni, "taboo."

20210507_113322.jpg


20210507_120935.jpg

An-nuur 7 April, 2021
 
Back
Top Bottom