Ukweli wa kukumbatiana

Umenyimwa alafu ndio ukaambiwa ukimshika mkono ham itaisha?
Maana kama watu hamtaki kufanya ham inatoka wapi tena?
kama hamtaki kufanya basi someni magazeti, na kama mna ham basi fanyeni.
Mwali umenichekesha na hii post yako, eti "kama mna hamu basi fanyeni"
 
Mwali umenichekesha na hii post yako, eti "kama mna hamu basi fanyeni"
Hahahahaha, mi nimeona kama contradiction:
amesema ukiwa na hamu lakini hutaki kufanya.
Mtu ukiwa na hamu si maana yake unataka?
Na kama hutaki kufanya si maana yake huna hamu?
Ukielewa hapo basi utajua cha kufanya in each circumstance


Inaisha kwa muda gani?
Kwa kushikana mikono tu ni kama 45 min, 'mnapona'
Kama mnashikana mikono na part zingine za mweili
inaweza kupunguka to 15 hadi 25 min before it is over
 
Mmm! Me wa kwangu hatakagi hata kuguswa tukishalala, hilo zoezi kwangu gumu.
 
nadhani ungejaribu kufanya kautafiti then u will get the real answer rather that asking,kuna vitu vingine tunaweza kujipatia majibu wenyewe bila hata kuuliza
 
hata wakati umetahiri unashauriwa kukumbatiana sana:lock1:
 

Tehe! Tehe! Tehe! Na ukimpungia itachukua kama 5hrs hv iishe, teheteheee...
 
Wataalam wanashauri eti ukimpenda mtu na hamtaki kufanya kale kamchezo basi mkumbatiane na kushikana mikona na ham itaisha je kunaukweli?
aaah no, mie idea yako sinunui. kama hatufanyi ni bora tukae mbali kabisa. hata kukaa faragha kama hatufanyi sipendi, iweje kukumbatiana! si ndo ataniua kabisa..........
 
Mmmh, Labda kama jogoo hapandi mutungi ja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…