wafanyakazi wengi hasa hasa wanaume wanasema mara ooh dodoma hakuna miundombinu, mara kuna vumbi, mara mji ni mdogo, mara eti hakuna bajeti ya kuhamia dodoma...hizo ni gereshat tu...sababu kuu ni kuwa wanajua dodoma bei ya supu ya pweza itakuwa juu kuliko dar