Ukweli wa mambo: Awamu ya sita haina serikali yake kamili

Ukweli wa mambo: Awamu ya sita haina serikali yake kamili

McFerson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,166
Reaction score
2,322
Wasalaaam.

Raisi SHH ataendelea kupasua kichwa juu ya viongozi wenzake mpaka pale atakapogundua kuwa serikali anayoiongoza asilimia kubwa ya watendaji wenye maamuzi makubwa ni wa kurithi kutoka serikali iliyopita.
Afanye nini?

1. Aunde baraza lake la mawaziri jipya na apige chini wanasiasa ambao hawaelewi kwenye goals zake.

2. Kama magufuli alivyoweka mkono wake kwenye mhimili wa Bunge,na yeye afanye hivyo ili kuhakikisha anaongoza bila stress.

3. Aangalie pale kwenye kikwazo kwa manufaa ya nchi na serikali yake apangue na kuweka safu yake.

Hivyo yaani.
 
Wasalaaam.

Raisi SHH ataendelea kupasua kichwa juu ya viongozi wenzake mpaka pale atakapogundua kuwa serikali anayoiongoza asilimia kubwa ya watendaji wenye maamuzi makubwa ni wa kurithi kutoka serikali iliyopita.
Afanye nini?
1. Aunde baraza lake la mawaziri jipya na apige chini wanasiasa ambao hawaelewi kwenye goals zake.
2. Kama magufuli alivyoweka mkono wake kwenye mhimili wa Bunge,na yeye afanye hivyo ili kuhakikisha anaongoza bila stress.
3. Aangalie pale kwenye kikwazo kwa manufaa ya nchi na serikali yake apangue na kuweka safu yake.

Hivyo yaani.
#. 2 duh...
 
Wasalaaam.

Raisi SHH ataendelea kupasua kichwa juu ya viongozi wenzake mpaka pale atakapogundua kuwa serikali anayoiongoza asilimia kubwa ya watendaji wenye maamuzi makubwa ni wa kurithi kutoka serikali iliyopita.
Afanye nini?
1. Aunde baraza lake la mawaziri jipya na apige chini wanasiasa ambao hawaelewi kwenye goals zake.
2. Kama magufuli alivyoweka mkono wake kwenye mhimili wa Bunge,na yeye afanye hivyo ili kuhakikisha anaongoza bila stress.
3. Aangalie pale kwenye kikwazo kwa manufaa ya nchi na serikali yake apangue na kuweka safu yake.

Hivyo yaani.
Yeye mwenyewe hatumtaki huku bara
 
Wasalaaam.

Raisi SHH ataendelea kupasua kichwa juu ya viongozi wenzake mpaka pale atakapogundua kuwa serikali anayoiongoza asilimia kubwa ya watendaji wenye maamuzi makubwa ni wa kurithi kutoka serikali iliyopita.
Afanye nini?
1. Aunde baraza lake la mawaziri jipya na apige chini wanasiasa ambao hawaelewi kwenye goals zake.
2. Kama magufuli alivyoweka mkono wake kwenye mhimili wa Bunge,na yeye afanye hivyo ili kuhakikisha anaongoza bila stress.
3. Aangalie pale kwenye kikwazo kwa manufaa ya nchi na serikali yake apangue na kuweka safu yake.

Hivyo yaani.
Mapendekezo ya mvizia uteuzi.
 
Back
Top Bottom