MPO?
Karibia kila kitu kina uzuri na ubaya wake.
Madawa ya kupanga uzazi yana mazuri yake ambayo kila siku tunayasikia.Lakini mbona hatuelezwi ubaya wake?
Ni ukweli japo wanaukataa kuwa MKE wangu akitumia madawa ya kupanga uzazi anaishiwa na hamu ya kufanya mapenzi.
Ni maoni yangu binafsi ama mnaonaje wadau?