Ukweli wa pesa za goli la mama

Ukweli wa pesa za goli la mama

Nasdaq

Member
Joined
Sep 22, 2024
Posts
17
Reaction score
45
Kuna hii discussion ya goli la mama ambapo hatujui hela zinatoka wapi ila tunajua anatoa mama but guess what kama wewe ni mtu unayefuatilia hizi press comference za Ahmed Ally, Ally Kamwe na Hashim hasa za kuhamasisha watu waje kwenye mechi za stars kuna kitu lazima umekiwaza

Nini kilitokea: walimpigia msigwa simu live kumwuliza kama mama atatoa hela ya goli la mama iwapo stars itashinda Msigwa akajibu on the sport atatoa PLUS hili la Simba, Yanga na Azam kutoa hela

MY thought: Hela za goli la mama ni either zinatoka wizara ya michezo na mama hahusiki na halikuwa wazo lake or hazitoki serikalini kabisa but matajiri wa mjini wanazitoa kuprove their loyalty

Nini mtazamo wako kuhusu goli la mama
 
Kuna hii discussion ya goli la mama ambapo hatujui hela zinatoka wapi ila tunajua anatoa mama but guess what kama wewe ni mtu unayefuatilia hizi press comference za Ahmed Ally, Ally Kamwe na Hashim hasa za kuhamasisha watu waje kwenye mechi za stars kuna kitu lazima umekiwaza

Nini kilitokea: walimpigia msigwa simu live kumwuliza kama mama atatoa hela ya goli la mama iwapo stars itashinda Msigwa akajibu on the sport atatoa PLUS hili la simba, yanga na azam kutoa hela

MY thought: Hela za goli la mama ni either zinatoka wizara ya michezo na mama hahusiki na halikuwa wazo lake or hazitoki serikalini kabisa but matajiri wa mjini wanazitoa kuprove their loyalty

Nini mtazamo wako kuhusu goli la mama

Kama unajua CCM inavyofanya kazi na serikali yake, kuna uwezekano mkubwa sana hizi hela zinalipwa na matajiri, na wao wana nyooshewa mambo yao kama pay back.
 
Back
Top Bottom