wamba the great
New Member
- May 10, 2021
- 2
- 2
Afrika nzima inasoma mambo yaliyoandikwa na mzungu
Yasiyo zingatia ukweli wa historia halisi je ni sawa watoto wetu kuendelea nkuwaita wapinga ukoloni kuwa waasi?hapanalaIma tuwaze upya ndugu zangu
Waziri wa elimu na tamisemi mnajambo la kuwaambia watanzania ukweli wa haya
Pia urithi wa ukoloni yatosha tusonge kwa lugha yetu Afrika kwa ajili ya waafrika pia
Yasiyo zingatia ukweli wa historia halisi je ni sawa watoto wetu kuendelea nkuwaita wapinga ukoloni kuwa waasi?hapanalaIma tuwaze upya ndugu zangu
Waziri wa elimu na tamisemi mnajambo la kuwaambia watanzania ukweli wa haya
Pia urithi wa ukoloni yatosha tusonge kwa lugha yetu Afrika kwa ajili ya waafrika pia