If you can't show how this is nonsense, dismissing it summarily is even bigger nonsense.Nonsense
We are not in a court room..ur so selfish bro. U want to impose ur faith to everyone...If you can't show how this is nonsense, dismissing it summarily is even bigger nonsense.
It should be very easy to show that nonsense is nonsense.
The fact that you are failing to show so casts doubt on your summary judgement.
Can you prove that this god of yours exists?
Kushindwa si uwezo. Kama kushindwa itakuwa ni uwezo basi hiyo hoja kwamba kama anaweza kuumba jiwe kubwa na akashindwa kulibeba, endapo akifanya hivyo basi haitokuwa kajipinga bali atakuwa ameweza kufanya hivyo.Uwezo wote una maana uwezo wote, haumaanishi uwezo nusu au uwezo usio wote au uwezo unaoweza kujipinga wenyewe.
Ukisema mungu ana uwezo wote, nikakuuliza anaweza kuumba jiwe zito kabisa kiasi kwamba ashindwe kulibeba, utasemaje?
Anaweza kuumba jiwe hilo?
Akiweza kuliumba si atakuwa kashindwa kulibeba na hivyo hatakuwa hana uwezo wote?
Ukisema hawezi kuliumba, je ni kweli ana uwezo wote?
Hiyo dhana yenyewe tu ya mungu mwenye uwezo wote inaonesha mapungufu ya kimantiki, kwa sababu inaleta logical contradictions.
Ni kitu cha kufikirika ambacho hakipo katika uhalisi.
Kwa vyovyote vile ambavyo umetumia stadi inayotakiwa.Kwa framework gani?
If atheism is faith, then baldhead is a hairstyle.We are not in a court room..ur so selfish bro. U want to impose ur faith to everyone...
Nani kasema kushindwa ni uwezo?Kushindwa si uwezo. Kama kushindwa itakuwa ni uwezo basi hiyo hoja kwamba kama anaweza kuumba jiwe kubwa na akashindwa kulibeba, endapo akifanya hivyo basi haitokuwa kajipinga bali atakuwa ameweza kufanya hivyo.
Kitu hakiwezi kuwa kweli kama kina contradiction.Ki
Kwa vyovyote vile ambavyo umetumia stadi inayotakiwa.
Kwani we suala la kuweza kuumba jiwe na kushindwa kulibeba iliingiaje wakati unaeleza maana ya uwezo wote? Maelezo yako yalikuwa yanapinga hiyo sifa ya uwezo wrote na ndiyo maana ukaleta hoja ya kuumba jiwe la kushindwa kulibeba.Nani kasema kushindwa ni uwezo?
Wapi hapo?
Unaweza kunukuu tupajadili?
Mungu mwenye uwezo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi ashindwe kulibeba?Kwani we suala la kuweza kuumba jiwe na kushindwa kulibeba iliingiaje wakati unaeleza maana ya uwezo wote? Maelezo yako yalikuwa yanapinga hiyo sifa ya uwezo wrote na ndiyo maana ukaleta hoja ya kuumba jiwe la kushindwa kulibeba.
Suala hapa si Mimi kukubalia au kukataa,we endelea.Kitu hakiwezi kuwa kweli kama kina contradiction.
Kwa mfano. Katika Euclidean geometry, tunajua kwamba pembetatu si duara. Pembetatu ni tofauti na duara. Duara ni tofauti na pembetatu. Kitu hakiwezi kuwa pembetatu, halafu hapo hapo kikawa duara.
Kwa hiyo, ukiniambia "hii ni pembetatu ambayo pia ni duara wakati huo huo", nitajua hilo si kweli.
Hili unakubali au unakataa?
Hili swali lako linahusiana vp na suala la mungu kuwa na uwezo wote? Maana inaweza ikawa ni nje kabisa na mada hebu fafanua sio tena baadaye unakuja kusema sijasema hivi Mara vile.Mungu mwenye uwezo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi ashindwe kulibeba?
Hujajibu swali.
Anaweza? Au hawezi?
Unajua bro we mi nimekustukia toka long time..we unafanya research kiujanjaujanja...acha hizo bro.unawakwaza watuIf atheism is faith, then baldhead is a hairstyle.
I have never imposed my faith. I do not have one. I have never told anyone to leave their faith. I merely question illogic.
In your mind, the only place we should use logic is in a courtroom.
No wonder you believe in a god you don't even understand.
Hujajibu maswali yaliyoulizwa.Nimesema
Unajua bro we mi nimekustukia toka long time..we unafanya research kiujanjaujanja...acha hizo bro.unawakwaza watu
Kila kitu kimeumbwa na Mungu hakuna asicho na uwezo nacho. Mfano;Mungu mwenye uwezo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi ashindwe kulibeba?
Hujajibu swali.
Anaweza? Au hawezi?
Naomba unipe majina yako matatu lakini ntachokifanya sina uwezo wa kukiondosha kwako na Mungu atanisamehe ntakuwa nimetumia uchawi kufundisha sitokuwa na dhambi.Hujathibitisha
Njoo tupige picha hapa kwenye bafu langu la juu lenye Cologne 100 analolijua Valentina uuhakikishie ulimwengu kwamba uchawi wako unafanya kzi na umekuwezesha kuinbia nyumbani kwaKiranga bila kutumia ufunguo wala kuvunja ingawa milango ote imefungwa.
Sent from my SM-T310 using JamiiForums mobile app
Wewe hauna uhakiki wowote hakuna research uliyoifanya umejifunza mambo ukubwani usiwaaminishe watu uongo Nipe utafiti uliofanya ukaamini Mungu hayupo?Kuamini ni kukubali kitu kabla ya kuhakiki kwa stadi zinazotakiwa.
Kujua ni kukubali kitu baada ya kuhakiki kwa stadi hizo.
Wewe hauna uhakiki wowote hakuna research uliyoifanya umejifunza mambo ukubwani usiwaaminishe watu uongo Nipe utafiti uliofanya ukaamini Mungu hayupo?Kuamini ni kukubali kitu kabla ya kuhakiki kwa stadi zinazotakiwa.
Kujua ni kukubali kitu baada ya kuhakiki kwa stadi hizo.
Wewe hauna uhakiki wowote hakuna research uliyoifanya umejifunza mambo ukubwani usiwaaminishe watu uongo Nipe utafiti uliofanya ukaamini Mungu hayupo?Kuamini ni kukubali kitu kabla ya kuhakiki kwa stadi zinazotakiwa.
Kujua ni kukubali kitu baada ya kuhakiki kwa stadi hizo.
Sifa ya uwezo ni kufanya hakuna afanyae anaweza kushindwa kuharibuKwa sababu sifa ya uwezo wote haimaanishi kuweza kufanya contradiction.
Ikiwa hivyo, sifa ya uwezo wote haitakuwa na tofauti na sifa ya kutoweza chochote na habari nzima itakosa maana.
Kutokuamini hulka ya mwanadamu kutokuamini kwako hakuondoi ukweli uliopoMwenyezi mungu hafanani na chochote ktk fikra za kibinaadamu...kwako ni just immagination...hakuzaa wala hakuzaliwa.....uwepo wa mwenyezimungu ni wa ardhi na mbingu pamoja na vitu vilivyomo... kamwe hautofikia suluhu ya kutuaminisha juu ya hilo.....kuna waliotangulia walijaribu mara trilions ya fokra zako,lakini wameshindwa......
Sijamfananisha Mwenyezi Mungu na chochote maana Mungu ni roho ya utukufu isiyoonekana wala hafananishwi na chochote.Mwenyezi mungu hafanani na chochote ktk fikra za kibinaadamu...kwako ni just immagination...hakuzaa wala hakuzaliwa.....uwepo wa mwenyezimungu ni wa ardhi na mbingu pamoja na vitu vilivyomo... kamwe hautofikia suluhu ya kutuaminisha juu ya hilo.....kuna waliotangulia walijaribu mara trilions ya fokra zako,lakini wameshindwa......