Uchaguzi 2020 Ukweli Watanzania wengi wameondolewa tabasamu, Nimeona kwenye Kampeni za CCM

Uchaguzi 2020 Ukweli Watanzania wengi wameondolewa tabasamu, Nimeona kwenye Kampeni za CCM

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Nafuatilia sana kampeni haswa za mgombea uraisi kwa CCM, nimeona ukweli was utafuti uliotoka na hitimisho kuwa Tanzania ni moja ya mataifa ambayo watu wake hawana furaha. Angalia:-

- Utaona watu wanaohudhuria mikutano ya mgombea wa CCM wengi hawashangalii, wananafanya mambo kwa kulazimishwa sana. Nguvu ya wasanii ndio inatumika sana kuchanlngamsha watu.

- Ukiangalia nyuso za wengi haswa kuanzia middle ground to back ground, ni kama wanashangaa tu, hawajui kwanini haswa wapo hapo. Na mara Fulani hijilazimisha furaha.

- Mara zota huwa namwangalia sana "Mama". Naye kiukweli yupo Kwa kujikaza sana. Mara nyingi ana huzuni. Hata " Baba" kamshiti hata kutambulishwa ikitokea ni kwa bahati.

Ni hayo machache. Ila tu kukosa furaha maana yake ni kukosa matumaini, ni kuwa gizani, ni kutojua kesho yako. Hii ndio hali halisi iliyopo sasa.

Tuombee sana Taifa letu Mungu asimame mwenyewe.
HAKI HUINUA TAIFA, BALI DHAMBI NI AIBU KWA WOTE.
 
Kwenye kampeni unasikiliza sera ! Huo sio mda wa burudani
Km Unataka kufurahia mtafute robertison wa Amsterdam [emoji3]
 
Wasanii
Kwenye kampeni unasikiliza sera ! Huo sio mda wa burudani
Km Unataka kufurahia mtafute robertison wa Amsterdam [emoji3]
Wasanoii 200!! Kweli ccm pumzi imekata ina maana bila wasanii hakuna ataenda kwenye kampeni za ccm
 
Ni vizuri kuwa unashiriki mikutano ya wanaccm hadi kugundua Hilo, that says a lot mkuu.
 
Sio wasanii tu kila Mtanzania ni Sehemu ya Ccm isipokuwa vijakazi wa mabeberu
Mi Mtanzania sijawahi kuwa ccm, Kama ccm itakadi yao Ni ujamaa/ umasikini, unyonge, ujinga, kuminya watu wasifanikiwe kiuchumi,

wakati Mimi naamini kwenye utajirisho/ukwasi, soko huria, uchumi wa private sector, elimu ya kiwango Cha juu
 
Back
Top Bottom