Uchaguzi 2020 Ukweli wenye ukali: Dkt. Magufuli lazima abadilike, runinga ya Watanzania aitazame na kuizingatia

Mkuu tatizo lake kubwa ni kuwa, anaamini tu ktk kile ambacho anachokiona kupitia ktk lensi yake, yaani akili za kina Bashiru na Polepole.
 
Uwezekano wa hili ni mkubwa sana.Cha msingi kila mtu atimize wajibu wa kupiga kura.Vote for change.
 
Daaah,wee jamaa umedadavua vizuri.Asubuhi ya leo nilikuwa nikijadiliana haya haya na mke wangu.Yaani kama una mpango wa kukopa kwa ajili ya biashara mwakani chukua tahadhari.Mauzo yataporomoka kuliko ilivyokuwa wakati corona imeshika kasi.Kila mtanzania apaswa kuchukua hatua kwa kutekeleza ile azima yetu:TUNA JAMBO LETU OCTOBA 28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ