Ulaghai wa wakoloni

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
9,748
Reaction score
26,238
Walipofika wao walikuwa wana Biblia, sisi tulikuwa na ardhi. Wakatuambia tufumbe macho na tusali.

Tulipomaliza kusali na kufumbua macho, wao walikuwa na ardhi, sisi tuna Biblia.

Wakatuambia "msiue". Lakini wao waliua zaidi ya ndugu zetu milioni 8.

Tena wakatuambia "msiibe". Huku wao wakishindana kuiba mali na utajiri wetu tuliokuwa nao kwenye ardhi.

Kisha wakatuambie eti tusitamani mwanamke asiyekuwa mke wetu. Huku wao wakipishana vichochoroni kubaka wanawake wetu.

Wakaendelea kutupanga tusiwe tunasema uwongo, wakati wao kucha kutwa wanatudanganya na kututapeli tena wakiwa wamevaa misalaba shingoni huku wakiyataja majina waliyotuambia ni matakatifu.

MWAFRIKA JITAFAKARI.
 
Hii dini ya ukristo ni kitapeli sana na walaghai sana! Makanisa yote yavunjwe Tanzania! Hatuhitaji makanisa
I
 
Ya zamani sana. Ume copy na kupaste. Nowdays haina mvuto hata kidogo.umechelewa sana kuisoma na hata basi ungeweka na akili yako kidogo
 
Ya zamani sana. Ume copy na kupaste. Nowdays haina mvuto hata kidogo.umechelewa sana kuisoma na hata basi ungeweka na akili yako kidogo
Lete hiyo source. Halafu sipo hapa kushindana. Kingine sio wote waliopata nafasi ya kuisoma hiyo zamani. Halafu kama haina mvuto kwako kwa wengine inavutia. Lakini cha kushangaza umeisoma mwanzo mwisho hahaaaa
 
Dini ni njia nyingine ya kuhakikisha tunatawalika kirahisi.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2]kaah jamanii mweeeh
 
When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said 'Let us pray.' We closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.

Desmond Tutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…