henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Jamii inanenepa "Kila Kukicha Inanenepa" Hata watoto wadogo wananenepa, Wanavitambi, Tuseme kwamba kama baba na mama ni mlafi na mvivu wa mazoezi watoto pia ni "WALAFI NA WAVIVU"?
Je Kitambi Cha Utotoni Tutakitibu Kwa "Kuwapeleka Gym kama Baba na Mama? Je kitambi cha Utoto Tutawatibu vipi ulafi wao kama ni kisababishi cha wao kuwa na kitambi?"
Kama Unachanganyikiwa tambua kwamba "Ulafi na uvivu wa mazoezi Sio sababu ya mlipuko wa vitambi kiasi hiki"
Jamii Inanenepa, na Tukiendelea Kulaumiana kuwa ni "Ulafi na uvivu" Itaendelea kunenepa kila siku!
[HASHTAG]#Takwimu[/HASHTAG] Hazidanganyi, Kuna jamaa yangu amesema Leo kwamba
"Uongo Ukiachwa ukatawala,huwa unakuja kuchukuliwa kama ukweli" Hapa tulipo "Tiba ya Kitambi Bado Hatuijui ndio maana jamii Inanenepa kila kukicha"
[HASHTAG]#Share[/HASHTAG] kama Unaamini Kitambi bado Ni Changamoto wengi wetu, Tunakichukulia Poa lakini ni Mpasuko mkubwa sana katika Afya yako!
By the Numbers: Tenfold Increase in Childhood Obesity Since 1975
By Dr Boaz mkumbo
Je Kitambi Cha Utotoni Tutakitibu Kwa "Kuwapeleka Gym kama Baba na Mama? Je kitambi cha Utoto Tutawatibu vipi ulafi wao kama ni kisababishi cha wao kuwa na kitambi?"
Kama Unachanganyikiwa tambua kwamba "Ulafi na uvivu wa mazoezi Sio sababu ya mlipuko wa vitambi kiasi hiki"
Jamii Inanenepa, na Tukiendelea Kulaumiana kuwa ni "Ulafi na uvivu" Itaendelea kunenepa kila siku!
[HASHTAG]#Takwimu[/HASHTAG] Hazidanganyi, Kuna jamaa yangu amesema Leo kwamba
"Uongo Ukiachwa ukatawala,huwa unakuja kuchukuliwa kama ukweli" Hapa tulipo "Tiba ya Kitambi Bado Hatuijui ndio maana jamii Inanenepa kila kukicha"
[HASHTAG]#Share[/HASHTAG] kama Unaamini Kitambi bado Ni Changamoto wengi wetu, Tunakichukulia Poa lakini ni Mpasuko mkubwa sana katika Afya yako!
By the Numbers: Tenfold Increase in Childhood Obesity Since 1975
By Dr Boaz mkumbo