The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini
Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema..
Kiufupi wafanyakazi wa Ikulu wamesikitika kwerikweri wakaongeza kusema ndo Maana feitoto kagoma kuchezea hii timu.
View attachment 2648309
Hawa ni Wanamazingira ambao hawaki kitu chochote kipotee.Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini.
Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema.
Kiufupi wafanyakazi wa Ikulu wamesikitika kwerikweri wakaongeza kusema ndo Maana feitoto kagoma kuchezea hii timu.
View attachment 2648309
Hata madu hawana cha kufyonza [emoji23]Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini.
Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema.
Kiufupi wafanyakazi wa Ikulu wamesikitika kwerikweri wakaongeza kusema ndo Maana feitoto kagoma kuchezea hii timu.
View attachment 2648309
Du! Utani mwingine bana..Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini.
Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema.
Kiufupi wafanyakazi wa Ikulu wamesikitika kwerikweri wakaongeza kusema ndo Maana feitoto kagoma kuchezea hii timu.
View attachment 2648309