V van penga Member Joined Feb 24, 2013 Posts 74 Reaction score 4 Mar 6, 2013 #1 habari ndugu zangu....nimekuwa nikiongezeka uzito kwa haraka na kwa muda mfupi...nahisi kuna tatizo katika ulaji wangu naombeni msaada wa jinsi ya kupangilia vyakula na njia nyingine yoyote mbadala
habari ndugu zangu....nimekuwa nikiongezeka uzito kwa haraka na kwa muda mfupi...nahisi kuna tatizo katika ulaji wangu naombeni msaada wa jinsi ya kupangilia vyakula na njia nyingine yoyote mbadala