Ulaji wa kupitiliza

Sinamboga

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
84
Reaction score
37
Wadau

Naomba kujua ni vipi unaweza kupunguza ulaji wa kupitiliza [ULAFI] je kuna njia yoyote tiba ama namna ya kupunguza ulaji?
Hata baada ya kucheki minyoo na tumbo?
 
Wadau

Naomba kujua ni vipi unaweza kupunguza ulaji wa kupitiliza [ULAFI] je kuna njia yoyote tiba ama namna ya kupunguza ulaji?
Hata baada ya kucheki minyoo na tumbo?

tumia dawa za minyoo harafu anza kufunga hiyo ndio tiba
 
Wadau

Naomba kujua ni vipi unaweza kupunguza ulaji wa kupitiliza [ULAFI] je kuna njia yoyote tiba ama namna ya kupunguza ulaji?
Hata baada ya kucheki minyoo na tumbo?

Uwe unapakua kidogo tu ukimaliza usiongeze hata kama unajisikia hujashiba, mwisho wa siku utazoea kula kidogo. kumbuka walafi hawatauona ufalme wa Mungu.
 
Sidhani kama kuna dawa zaidi ya wewe kufanya MAAMUZI MAZITO na kusema sasa bhaaaasi.Jinsi mwili unavyouzoesha ndivyo unafuata.. Anza tabia ya kufunga na kujinyima. Pia unaweza badili ratiba yako ya mlo..badala ya milo 3 mikubwa kula hata 6 Lkn in small portions..Pia anza kubagua chakula..badala ya chips kuku tumia ugali dona na protini..badala ya soda kula matunda au juice original.. asubuhi pendelea viaz au ndiz badal ya vitumbua na chapati..otherwise google mambo ya nutrition na jinsi ya kujinyima chakula in a healthy way utapata mambo kibao ya kukusaidia
 
Wadau

Naomba kujua ni vipi unaweza kupunguza ulaji wa kupitiliza [ULAFI] je kuna njia yoyote tiba ama namna ya kupunguza ulaji?
Hata baada ya kucheki minyoo na tumbo?

Kwanza wewe huna mboga, unawezaje kula kupitiliza?!!unakula ugali mkavu!!!
tuache utani ...mimi nakushauri mkuu utengeneze mpango kazi. Ukiwa na lengo moja la kupunguza kula! Kwasababu tatizo lako limekaa kimaamuzi zaidi. Tengeneza ratiba ya kula na kiasi cha kula kwa siku na unapaswa kuiheshimu ratiba yako na kuifuata. Ni wewe mwenyewe ndiye mwenye uwezo wa kufikia lengo lako wala huhitaji msimamizi!

Zingatia kufanya maombi kabla ya kula...kumuomba Mungu kabla ya kula ni muhimu huenda ikawa ni sababu ya wewe kutokushiba unapokula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…