Ulaji wa mafuta Toyota Vitz CC 990

Bpk

Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
43
Reaction score
15
Nina Vitz ya mwaka 2000 yenye CC 990 nilichukua kwa mtu ilikuwa inatumia lita 1 ya mafuta kwa KM 5 nikapeleka kwa fundi gasket ilikuwa inavujisha oil inapeleka kwenye plug nikaweka mpya sasa hivi inakula lita 1 kwa KM 8. Wakati kwa watu wengine wenye Vitz kama yangu ni 1lita kwa KM 12 kwenda juu hapo tatizo litakuwa ni nini? Ukizingatia gari bado ni mpya ina mwaka 1 tangu iingie Tanzania.
 
Lita moja kwa kilometers 8 kwa gari yenye engine ndogo kama vits hilo gari majanga. Mimi naendesha Mercedes Benz 2500cc lita moja ni kilometa 9 hadi 10 kutegemeana na uendeshaji!
Mwambie fundi arekebishe zaidi mpaka lita 1 kwa kilometer 15!
 
Ukiona mtu anauza gari anasababu! Ndo maana alikuuzia msala kwako!
 
Lita moja kwa kilometers 8 kwa gari yenye engine ndogo kama vits hilo gari majanga. Mimi naendesha Mercedes Benz 2500cc lita moja ni kilometa 9 hadi 10 kutegemeana na uendeshaji!
Mwambie fundi arekebishe zaidi mpaka lita 1 kwa kilometer 15!
Shukurani sana hapo vitu vya kuangalia ni kama nn
 
Shukurani sana hapo vitu vya kuangalia ni kama nn
Sijui Engine system ya hiyo vitz. Inaweza kuwa ni "timing ya ignition system" ya piston ina lag some microsecond late!
 
Sasa wakuu hizi vits cc 990 zinakula 1ltr kwa kilometa ngapi?
 
Vits 990 ulitakiwa ikupe 17km kwa lt. Mi nna passo 990 3pistin huwanaweka wese la 120000 natoboa dar mwanza
Speed ngapi almost unakwenda maana naskia stori za mtaani kuwa spidi isizidi 100 Kama ni Safari ndefu na angalau km 300 unakaweka kushoto kapoe je kuna ukweli wowote hapo mkuu?
 
Kingine wakuu Vits ku blink blink fuel gauge kuashiria empty while ipo na nusu tank Nini huwa shida kwa wenye experience na hili pls msaada wenu nijue pa kuanzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…