Naona hapa ndio nitapata muafaka,nimepata kusikia utumiaji wa maini ya wanyama kama mlo una madhara kwa binadamu,je hii ni kweli? Huko nyuma ilikuwa ukimuwekea mpenzi wako order ya maini buchani ndio unaonekana kwa mpenzi wako umetimia.
Naona hapa ndio nitapata muafaka,nimepata kusikia utumiaji wa maini ya wanyama kama mlo una madhara kwa binadamu,je hii ni kweli? Huko nyuma ilikuwa ukimuwekea mpenzi wako order ya maini buchani ndio unaonekana kwa mpenzi wako umetimia.
ILA kama huyo mnyama haumwi....Hakuna sehemu nzuri ya ng'ombe tamu na healthy kama maini na moyo.
maini yanafaida nyingi sana tena sana hasa kwa waliopungukiwa damu inachohoea erthropoiesis.. kula maini kwa afya yako..
Navyopenda chapati maini duh sijui kama naweza yaacha kuyala
Mkuu nahisi kuna kitu cha muhimu unataka kufunguka ila umesema kwa uchache. Unaonaje ukiongeza maelezo kama hutajali
Maana mimi niliacha kula maini baada ya kuambiwa si salama kwa afya zetu