Ulaji wa primary!

Ernie

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2010
Posts
217
Reaction score
25
Je unakumbuka ulivyokuwa ukila primary miaka ya 80z n' 90z?

Kalimati
Bagia
Ashkilimu
uji wa mchele
N.K
 
Nakumbuka bagia tu kati ya hizo, kijijini kwetu Ice-cream ilikuwa haijafika wakati huo, kwetu ilikuwa bakuli la kunde, muda wa mapumziko kulikuwa na wamama wanauza bakuli la kunde na togwa. Hahahahahha, CCM inataka turudi tena huko?
 
Je unakumbuka ulivyokuwa ukila primary miaka ya 80z n' 90z?

Kalimati
Bagia
Ashkilimu
uji wa mchele
N.K


Mkuu hapo naona umesahau,
Ufuta
Mabumunda
Sambusa za viazi,
Half keki,
Kashata,
Mihogo ya kukaanga aka misuba
Kaukau,
Ubuyu,
Ubuyu wa unga.
Mabungo,
Mengine nimesahau nitaongezea nikikumbuka.
 
hahahahhaha.....me nakumbuka sambusa za choroko mzazi na mahindi ya kukaanga yaliyolowekwa na kuwekwa sukari, tamu hiyoooooo, mate yamenitoka
 
mwanangu nimekumbuka mahindi ya kuchoma na kukaanga. tulikua tunaenjoy coz hatukuwa na alternative.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…