Ulaya kodi sio ya kinyonge aisee, Ingekuwa bongo tungeandamana aisee

Ulaya kodi sio ya kinyonge aisee, Ingekuwa bongo tungeandamana aisee

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv. Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]
 
Link ya kutoa ushaur juu ya biashara hio ni hii haps


Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Natumai nyote ni wazima wa afya
Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv
Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia Tanzania wanaandamana nani? Tuna kitu kinaitwa tozo imeingia hadi bank, hakuna mawazo.m badala wa kutafuta pesa zaidi ya kimnyang'anya mnyonge visenti vyake tunaishia kusikitika na kulaani kichinichini laana ambazo hazifiki popote
 
Ulisoma habari yote kuhusu hiyo lottery?

Huyo aliamua kuchukua lampsum, ambayo ukichukua lampsum unapewa 787mil usd kabla ya kodi

Ukichukua gratuit ya miaka 30 ndo unapewa hizo 1.2bil usd
 
KINACHOLALAMIKIWA HUKU TANZANIA SIO MLUNDIKANO WA KODI NYINGI BALI NI MATUMIZI YA KODI.........KODI KUBWA WANAZOLIPA HUKO ZINAENDANA NA UBORA WA HUDUMA ZAO ZA KIJAMII......SIO HUKU KWETU TUNALIPA KODI KWA AJILI YA POSHO NA MISHAHARA YA VIONGOZI WA SERIKALI NA SIO MIRADI YA MAENDELEO
 
Natumai nyote ni wazima wa afya
Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv
Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Soma tena hiyo story ya mega jackpots ina taratibu zake
 
Natumai nyote ni wazima wa afya
Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv
Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Lipia kodi kwanza ya leseni, tin ya biashara, frem ya biashara yako nk nk hata huku kodi zipo lipa kodi kwa maendeleo ya taifa na matumbo ya viongozi
 
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv. Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]
KODI HIZI SIO POA
 
Uzuri kule wanalipwa hela kwa masaa ya kazi sio siku kama huku kwetu. 😂😂😂!!!

Mtu wa chini kazi ya masaa 8 tu anaweza kutengeneza laki 6.5! Wewe ili ukabidhiwe hio laki 6.5 unatakiwa uwe umehudhuria ofisini bila kukosa kwa siku 3O... Utajifananisha na wao???

Ndio maana siku nilimuona mama enu mjinga ni ile kujifariji mafuta Marekani bei juu kuliko kwetu.
 
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv. Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]
Kodi ulaya ni kubwa kweli , ila kuna cycle nzuri ya matumizi ya kodi raia wanalipa , huku kwetu kodi ndo zinawaweka akina mdee bungeni kwa njia ya ajabu ajabu
 
Ulisoma habari yote kuhusu hiyo lottery?

Huyo aliamua kuchukua lampsum, ambayo ukichukua lampsum unapewa 787mil usd kabla ya kodi

Ukichukua gratuit ya miaka 30 ndo unapewa hizo 1.2bil usd
Uzi ufutwe sasa maana umepoteza maana yote aliyokuwa kalenga mtoa mda
 
Mkiwa mnajadiri kuhusu hizo Kodi muwe mnajaribu kuangalia na huduma za jamii, hali ya uchumi na matumizi ya hizo Kodi zao
 
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv. Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]
Kila siku mazungumzo ni kuhusu wenzetu wameendelea, wana hela n. k. ni kodi tu ndiyo zinawaletea hayo maendeleo na hawaibi!!!
 
Kila siku mazungumzo ni kuhusu wenzetu wameendelea, wana hela n. k. ni kodi tu ndiyo zinawaletea hayo maendeleo na hawaibi!!!
Siri ya raia kulipa kodi kwa kujitolea ni matumizi ya kodi hizo.
Ulaya kodi inarudi kwa raia kwa jina la huduma za jamii , huku kwetu zinanunua v8 400mil plus kwa ajili ya mkurugenzi na vyeo vya kisiasa.
 
KINACHOLALAMIKIWA HUKU TANZANIA SIO MLUNDIKANO WA KODI NYINGI BALI NI MATUMIZI YA KODI.........KODI KUBWA WANAZOLIPA HUKO ZINAENDANA NA UBORA WA HUDUMA ZAO ZA KIJAMII......SIO HUKU KWETU TUNALIPA KODI KWA AJILI YA POSHO NA MISHAHARA YA VIONGOZI WA SERIKALI NA SIO MIRADI YA MAENDELEO
na hii ina toa uhalali wa watu kukwepa kodi kwa njia zozote zile.
 
Back
Top Bottom