Ulaya Mashariki ikiongozwa na Urusi.

Ulaya Mashariki ikiongozwa na Urusi.

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
18,611
Reaction score
27,615
Mataifa ya Ulaya mashariki yakiongozwa na Urusi kwa nini hayakujishughulisha kutafuta na kupata makoloni Duniani kama mataifa ya Ulaya magharibi yakiongozwa na Uingereza? Pia Marekani 1884-1885 kwa haikuwepo kwenye mgawo wa kupata makoloni wakati sasa ni taifa lenye nguvu Duniani?
 
Mataifa ya Ulaya mashariki yakiongozwa na Urusi kwa nini hayakujishughulisha kutafuta na kupata makoloni Duniani kama mataifa ya Ulaya magharibi yakiongozwa na Uingereza? Pia Marekani 1884-1885 kwa haikuwepo kwenye mgawo wa kupata makoloni wakati sasa ni taifa lenye nguvu Duniani?
Kwa uelewa wangu sababu ni ujamaa,mengine watakuja kusema
 
Back
Top Bottom