Ulaya na Marekani zaanza kukumbwa na mtikiso wa uchumi

Ulaya na Marekani zaanza kukumbwa na mtikiso wa uchumi

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Benki na taasisi za fedha barani Ulaya na Marekani zimeanza kuguswa na mtikisiko wa uchumi ambao unazikumba benki kadha mfano Uingereza na Uswisi nchini Uingereza benki zimeamua kuongeza kiwango cha riba kunusuru soko lao, nchini Ufaransa maanadamno ya kupinga ongezeko la ugumu wa maisha limetokea.

Vile vile nchini Marekani benki ya Silicon Valley nayo imekumbwa na uhaba wa fedha, Mwenyekiti wa umoja wa benki nchini Marekani Bwana Jerome Powell amezunguumzia mdororo huo wakati akiongea jana na umoja wa shirikisho la masoko huru nchini Marekani jana tarehe 22.3.2023.

Aidha, amesema ana imani mambo yatakua imara na anaamini mambo ni imara katika mifumo ya benki .
Al jazeera tv
 
Mbona hujatuhabarisha kuhusu maandamano ya kupinga ugumu wa maisha kule Lebanon?? Ni juzi tu taifa la Indonesia limepokea mkopo wa dollar billions mbili baada ya serikali kufilisika!!

Weka ushabiki pembeni kisha ulete habari kamili!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Mbona hujatuhabarisha kuhusu maandamano ya kupinga ugumu wa maisha kule Lebanon?? Ni juzi tu taifa la Indonesia limepokea mkopo wa dollar billions mbili baada ya serikali kufilisika!!

Weka ushabiki pembeni kisha ulete habari kamili!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mbkna hiyo habari si ungeileta wewe kiongozi au umesahau nini kinaendelea ufaransa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli wanaonyooka zaidi ni wale wananonunua au kuchukua mikopo kama cash,mortgage, magari kwa installment na mengine
Ila kwa watu kama mimi ninaekula hela zangu za jasho wala hainumizi sana
Wenye akiba tuko vizuri kuliko wanaodaiwa maana interest rates zinabadilika x8 kila mwaka [emoji636]

Maisha yamekuwa magumu ila tunayamudu kwa sababu ajira kibao na biashara zipo pia
Kwa hiyo hali sio mbaya kama inavyosemwa

Kila kitu kimepanda lakini bado tunamudu
 
[emoji34][emoji34][emoji34]
Screenshot_20230313-142054_100723.jpg
 
Mbona hujatuhabarisha kuhusu maandamano ya kupinga ugumu wa maisha kule Lebanon?? Ni juzi tu taifa la Indonesia limepokea mkopo wa dollar billions mbili baada ya serikali kufilisika!!

Weka ushabiki pembeni kisha ulete habari kamili!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Lebanon sio Ulaya wa sio Marekani soma vizuri kichwa cha habari
 
Mbona hujatuhabarisha kuhusu maandamano ya kupinga ugumu wa maisha kule Lebanon?? Ni juzi tu taifa la Indonesia limepokea mkopo wa dollar billions mbili baada ya serikali kufilisika!!

Weka ushabiki pembeni kisha ulete habari kamili!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwani Wewe umekatazwa na nani,,!? Akili za kishoga hazijifichi,, unasumbuliwa na gubu,,
 
Mbona hujatuhabarisha kuhusu maandamano ya kupinga ugumu wa maisha kule Lebanon?? Ni juzi tu taifa la Indonesia limepokea mkopo wa dollar billions mbili baada ya serikali kufilisika!!

Weka ushabiki pembeni kisha ulete habari kamili!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Umeweka avator ya shoga. Ungekua Uganda mda huu ungekua ndani maana una promote mashoga.
JamiiForums1694128041.jpg
 
Hao wazee wa corona pana jambo wameliandaa kutaka Dunia ifate.
Wanafilisika vipi wakati wanauhakika wa malighafi na masoko pia
 
Back
Top Bottom