Ulaya ni kama hamna Uviko19, fainali za Euro 2020-Wembley imetapika

Ulaya ni kama hamna Uviko19, fainali za Euro 2020-Wembley imetapika

Da Gladiator

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
1,641
Reaction score
2,646
Kipindi hili gonjwa linaanza tuliwananga sana wazungu, walichukua tahadhari za msingi sana naona sasa wanaelekea kufanikiwa,

Watu wameajaa, no Barakoa.

Mama wahisha 'Chanjo'
 
Ina maana wimbi la tatu lipo Afrika tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],huku ni kuchezeana akili sasa
Yaani naangalia Mpira hapa, hawana barakoa bilashaka wana 'Chanjo'
 
Kipindi hili gonjwa linaanza tuliwananga sana wazungu, walichukua tahadhali za msingi sana naona sasa wanaelekea kufanikiwa,
Watu wameajaa, no Barakoa.

Mama wahisha 'Chanjo'
Wenzako asilimia kubwa wana chanjo tayari!! Japo na wao ni kama vile imefikia kipindi wamechoka nalo!!
 
"ULAYA NIKAMA HAMANA UVIKO19, FAINALI ZA EURO 2020-WEMBREY IMETAPIKA"
Au ni Mimi tu ambae sijaelewa
Mkuu Da Gladiator nisaidie
 
Kufuatia mashindano ya Tennis pale Wimbledon na EUROCUP idadi ya maambukizi imeanza kuongezeka tena.

Kipindi hili gonjwa linaanza tuliwananga sana wazungu, walichukua tahadhali za msingi sana naona sasa wanaelekea kufanikiwa,
Watu wameajaa, no Barakoa.

Mama wahisha 'Chanjo'
 
Back
Top Bottom