maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Nipo naangalia fainali ya capital one cup kati ya Chelsea na Tottenham na mvua imeanza kunyesha kipindi cha pili huku mashabiki wakiloana.. Naona manager wa Tottenham anahangaika kujifuta maji ya mvua kila mara. So mara ya kwanza kuona mvua ikinyesha uwanjani na wakati mwingine hadi mechi kulazimika kuahirishwa. Sasa najiuliza hawa wazungu pamoja na technology yote walionayo wanashindwaje kuezeka uwanja ili watazamaji uwanjani na makocha wasiloane? Au ni sheria ya FIFA?