Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Nchi za Ulaya zinaonekana kupigwa na wimbi la pili la #CoronaVirus kutokana na kurekodi maambukizi mapya makubwa ndani ya muda mfupi
Wataalamu bado wanashuku kutangaza kuwa hilo ni wimbi la pili la #CoronaVirus. Mtaalamu wa Virusi, Margarita del Val anasema inawezekana kuwa ikawa ni wimbi la pili, lakini litakuwa dogo ukilinganisha na la kwanza
Uturuki imetangaza kuwa na hali mbaya. Ufaransa imerekodi maambukizi mapya 7,000 ndani ya siku moja, na Spain ilirekodi maambukizi 9,000
===
A new wave of the deadly coronavirus is on Europe’s doorstep, it seems. For a second day, France clocked up 7,000 new infections, and neighboring Spain recorded almost 9,000. Meanwhile, Turkish authorities have admitted that things are getting pretty bad again
Wataalamu bado wanashuku kutangaza kuwa hilo ni wimbi la pili la #CoronaVirus. Mtaalamu wa Virusi, Margarita del Val anasema inawezekana kuwa ikawa ni wimbi la pili, lakini litakuwa dogo ukilinganisha na la kwanza
Uturuki imetangaza kuwa na hali mbaya. Ufaransa imerekodi maambukizi mapya 7,000 ndani ya siku moja, na Spain ilirekodi maambukizi 9,000
===
A new wave of the deadly coronavirus is on Europe’s doorstep, it seems. For a second day, France clocked up 7,000 new infections, and neighboring Spain recorded almost 9,000. Meanwhile, Turkish authorities have admitted that things are getting pretty bad again