Ule mkakati wa wasanii wote kuhamia Mkuranga, Pwani uliishia wapi?

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Wanajamvi salaam!

Kulikuwa na mkakati wa kuwagawia wasanii Viwanja Mkuranga Mkoani Pwani ambako kulikuwa kumeanzishwa kijiji cha wasanii uliokuwa ukiratibiwa na SHIWATA hivi huu mkakati uliishia wapi maana naona kimya tu?

Vipi walikuwa wameshahamia huko maendeleo yao? Vipi mkakati wa kuja kuwachukua hawa wengine waende huko ukoje?

Sipati picha akina Amber Ruth, Mobetto, Sepetu, Diamond, Kiba wakiwa kwenye kijiji kimoja huko mkuranga watuachie jiji letu tupumue kidogo.

 

unajua mji au kijiji ujengwi kama unachora au unapanga tu ndo maana zinaishia kufeli kama miladi ya NHC tunayo isikia.
mji au kijiji unakuja wenyewe kulingana maisha ya kiuchumi,kijamii na mazingira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…