Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kama kawaida yetu tushanyonyolewa 2 huko na Algeria tukiwa nyumbani.
Sasa tutaanza hesabu za vidole Kama kawaida yetu fulani amfunge fulani na ss wakat huo tushinde mechi fulani ndio tutaenda afcon.
Huu ndio utaratibu wetu wa kila mwaka tukifika wakat Kama huu sio waandishi wa habar wachambuz hutumia vidole kuliko uhalisia wa timu yetu.
Mpira n sayansi Kama sayansi nyingne shinda mechi zako bila kumuangalia Nani kafanya nini?
Wachezaji hawana background ya mpira huko nyuma hawana basic skills za soka hata control n shida
Sasa tutaanza hesabu za vidole Kama kawaida yetu fulani amfunge fulani na ss wakat huo tushinde mechi fulani ndio tutaenda afcon.
Huu ndio utaratibu wetu wa kila mwaka tukifika wakat Kama huu sio waandishi wa habar wachambuz hutumia vidole kuliko uhalisia wa timu yetu.
Mpira n sayansi Kama sayansi nyingne shinda mechi zako bila kumuangalia Nani kafanya nini?
Wachezaji hawana background ya mpira huko nyuma hawana basic skills za soka hata control n shida