Ule upepo umeishia wapi?

Ule upepo umeishia wapi?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Nadhani mnakumbuka mnamo mwaka juzi hivi enzi zile simu za watu zilijaa maujumbe ya ajabu ajabu kuanzia ya matusi hadi ya kitakatifu. Ule upepo sijui umeelekea wapi ama umerithiwa na jambo gani jipya. Sijui watu walikosa cha kufanya au ubunifu ulipaa chati wakati huo au gharama zilikuwa ndogo sana. Yani hata sikumbuki zilikuwaje. We unakumbuka yoyote?
 
Back
Top Bottom