Ule uwanja wa makontena wa Qatar unaweza kufika nchini mapema kuliko tulivyodhani

Ule uwanja wa makontena wa Qatar unaweza kufika nchini mapema kuliko tulivyodhani

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.

Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
Screenshot_20221128-185809_1669651125479.jpg
 
Nashukuru wazo limefanyiwa kazi, je Mwanza ni pahala sahihi kwa uwanja huo?aidha wapi palifaa kuufunga uwanja huu strategically?
 
Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Kwa nini wasiupeleke Ujerumani au USA?
 
Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Mambo ya kijinga haya tunahitaji kufanya mambo yetu wenyewe
 
Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza...
Mbona kuna mahali nilisoma nikaona huo uwanja unahamishiwa Amerika ya Kusini! Sijui ni nchi ya Peru ile!!!!
 
Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
JamiiForums hii ipelekwe jukwaa la utani au iwekewe alama kwamba ni tetesi, hadi itakapothibishwa na serikali.
 
Back
Top Bottom