MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
PoaMama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Nimejikuta nacheka tuHayo maongezi yalikuwa siri au walikutumia sms?.
Akikujibu hii nitag.Hayo maongezi yalikuwa siri au walikutumia sms?.
Kwa nini wasiupeleke Ujerumani au USA?Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Mambo ya kijinga haya tunahitaji kufanya mambo yetu wenyeweMama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Mbona kuna mahali nilisoma nikaona huo uwanja unahamishiwa Amerika ya Kusini! Sijui ni nchi ya Peru ile!!!!Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza...
JamiiForums hii ipelekwe jukwaa la utani au iwekewe alama kwamba ni tetesi, hadi itakapothibishwa na serikali.Mama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Hii ni sound, uwanja unaenda UruguayMama kashamaliza hilo suala, Waqatar wamesema haina shida na walikuwa hawana mpango wa kuendelea kubaki nao.
Maamuzi ya awali yanaonesha uwanja huo utafungwa Mwanza.
Waziri wa michezo juzi alikuwa maeneo ya usagara kuangalia eneo utakapofungwa.
View attachment 2431298
Mwanza ndipo pangekuwa sehemu sahihi sana ila sema hii ni porojo...., je Mwanza ni pahala sahihi kwa uwanja huo?aidha wapi palifaa kuufunga uwanja huu strategically?